Chief Ortambo Ikumenye
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 247
- 503
Tulifanya interview jana tarehe 14.09.2022 wakatuambia matokeo yatatoka kuanzia jana saa tisa, ila cha ajabu mpaka sasa ni bila bila hatujapata matokeo yeyote.
Sasa hatujui kama tumefaulu au tumefeli na siku ya oral pia ni leo.
Nilichoamua asubuhi hii ni kwenda moja kwa moja Duce nikapate mustakabali hukohuko.
Ama kuna wa Duce aliyepata matokeo yake?
Sasa hatujui kama tumefaulu au tumefeli na siku ya oral pia ni leo.
Nilichoamua asubuhi hii ni kwenda moja kwa moja Duce nikapate mustakabali hukohuko.
Ama kuna wa Duce aliyepata matokeo yake?