Mliojenga shikeni Maua yenu!

Mliojenga shikeni Maua yenu!

Binafsi huwa naona ukiwa likizo/mapumziko ndio muda muafaka wa kufanya ujenzi. Kazi zingine nyepesi unazifanya mwenyewe.
Inabidi uuandae mwili kwa mazoezi,maana huo uchovu!Utashangaa mifuko imeyeyuka,fundi maiko wachache ni noma.
 
Gharama zisizotajwa: kuchekecha mchanga, kubeba cement, maji ya kumwagilia, kujaza kifusi, mara mirunda ya kusimamia, sijui kuweka milango na madirisha
 
Waga nikikuta fb,fundi njaa njaa anapiga picha nzurii anakwambia mpaka kuisha 7m nacheka tu,Mimi mwaka Jana nikasema nijenge chumba kimoja Mara nikasema acha nijenge chumba self na sebure,nilianza na Moto 😆😆 hapo Yani Sina bajeti Wala nin,nikafika lenta nikapumzika mwezi nipapiga bati,tokea hapo nipo hoi balaa,unakuta najifariji nampigia fundi nipimie madirisha hapo niletee site alafu kimyaa,juzi Napo nikamwambia embu nipigie hesabu ya shimo la choo na lafu floor kaenda site kapima kanipa hesabu nimeandika nimeweka pembeni,Yani fulu kujifariji Ila mwaka ujao nitapambana nihamie
 
Yaani hakukisekani hata ukiwepo hawa fundi maiko ni wajanja kinoma!Leo hii nimepigwa mfuko wa cement nikiwa site na fundi maiko m!Anadai kachanganya mchanga kumbe kapitisha kwa nyuma Maua mnastahili wenye nyumba.Ndo maana za urithi ni tamu kuuza.
😂😂😂
 
Wazee Mimi nimejichanganya nimejenga nyumba Kali nimeezeka bati Kali nimeweka grill nikachimba shimo la choo nikalifunika Hela zimeisha hapa Nina kende tu na inatakiwa nihamie.
Hujajichanganya mkuu!kama ni mtu usie na makuu hamia hivyo hivyo,kwenye madirisha weka magunia hadi chooni,kitaeleweka mbele kwa mbele.
 
Mbona mpaka hapo unaamia tu
Mkuu unahamiaje milago Hamna, ipo milango ya grill tu miwili inatakiwa na ya mbao halafu nyumba Ina milango 13, fremu zake, hata twende kwenye madirsha 14 yote yapigwe wavu na karatasi nzito maana ukinambia vioo na madirsha yaiivyo makubwa ntapata tumbo la kuhara hapo sijaongelea lipu, kupiga jamvi mabomba vyooni huko maana Kuna shimo tu chooni Hamna sink.
 
Mkuu unahamiaje milago Hamna, ipo milango ya grill tu miwili inatakiwa na ya mbao halafu nyumba Ina milango 13, fremu zake, hata twende kwenye madirsha 14 yote yapigwe wavu na karatasi nzito maana ukinambia vioo na madirsha yaiivyo makubwa ntapata tumbo la kuhara hapo sijaongelea lipu, kupiga jamvi mabomba vyooni huko maana Kuna shimo tu chooni Hamna sink.
Hamia tuu mkuu,hakikisha unaenda hapo tumbo liko sawa😁😁
 
Yaani hakukisekani hata ukiwepo hawa fundi maiko ni wajanja kinoma!Leo hii nimepigwa mfuko wa cement nikiwa site na fundi maiko m!Anadai kachanganya mchanga kumbe kapitisha kwa nyuma Maua mnastahili wenye nyumba.Ndo maana za urithi ni tamu kuuza.
Kuna mmoja nilimkamata kaficha nondo mbili vichakani aisee halafu anasema sio yeye...
 
Halafu je, kwani nikiandika..nitarejeshewa pesa zangu?
Usiwe mvivu hivyo ukiandika ndiyo utajua gharama halisi za ujenzi.

Huwa nashangaa humu watu wanapoambiana ati milioni 20 zinajenga nyumba.

Mimi nina utaratibu wa kuandika kila gharama za ujenzi ninazolipia kila siku.
 
Usiwe mvivu hivyo ukiandika ndiyo utajua gharama halisi za ujenzi.

Huwa nashangaa humu watu wanapoambiana ati milioni 20 zinajenga nyumba.

Mimi nina utaratibu wa kuandika kila gharama za ujenzi ninazolipia kila siku.
Inapendeza kuandika mengine unasahau!
 
Back
Top Bottom