Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,441
- 15,201
Niliongeza umakini zaidiKumpa kipondo kazi itachelewa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliongeza umakini zaidiKumpa kipondo kazi itachelewa!
Hizo kende ziuze upate pesa ya kumalizia 😂😂😂Wazee Mimi nimejichanganya nimejenga nyumba Kali nimeezeka bati Kali nimeweka grill nikachimba shimo la choo nikalifunika Hela zimeisha hapa Nina kende tu na inatakiwa nihamie.
Bff nimecheka 😂😂😂Kuna mmoja nilimkamata kaficha nondo mbili vichakani aisee halafu anasema sio yeye...
Yaani acha tu halafu kaficha njia ninayotokeaBff nimecheka 😂😂😂
Yaani acha tu halafu kaficha njia ninayotokea
aahh wap kwa Red, alikaa mwenyewe.Redington ni namba nyingine.Mwamba alimuweza Red, pamoja na Townsend directive
Nilivyomaliza mkataba na yeye tukamalizana....nilimwambia sitaki kumuona tena site kwanguUngemzibua [emoji23][emoji23]
Tupo pamoja mkuuAhsante kwa kunipa moyo mkuu.
Kila la kheri.Waga nikikuta fb,fundi njaa njaa anapiga picha nzurii anakwambia mpaka kuisha 7m nacheka tu,Mimi mwaka Jana nikasema nijenge chumba kimoja Mara nikasema acha nijenge chumba self na sebure,nilianza na Moto 😆😆 hapo Yani Sina bajeti Wala nin,nikafika lenta nikapumzika mwezi nipapiga bati,tokea hapo nipo hoi balaa,unakuta najifariji nampigia fundi nipimie madirisha hapo niletee site alafu kimyaa,juzi Napo nikamwambia embu nipigie hesabu ya shimo la choo na lafu floor kaenda site kapima kanipa hesabu nimeandika nimeweka pembeni,Yani fulu kujifariji Ila mwaka ujao nitapambana nihamie
Akaumbuka!Yaani acha tu halafu kaficha njia ninayotokea
Ukiandika itakusaidia kujua thamani halisi ya nyumba yako. Hata ukitaka kuiuza utaiuza kwa bei ambayo itakupa faidaAsante sana. Binafsi nimepokea maua kwa moyo mkunjufu sana. Unaweza ukakadiriwa nyumba hadi kukamilika itakugharimu Tsh 60m, lakini siku ya mwisho ikasimamia Tsh 80m.
Mwanzoni nilikuwa naandika gharama zote ninazotumia. Kila nikinunua kitu, naandika. Baadae nikaona ni ujinga huu kuandika andika. Maana unakuta kuna matumizi mengine unayasahau. Muda wote unakuwa kama karani. Nikajisemea moyoni, kwa kuwa ninausimamia ujenzi mimi mwenyewe hakuna haja ya kuandika. Halafu je, kwani nikiandika..nitarejeshewa pesa zangu?
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
Ghorofa asikwambie mtu, ujenzi wake ni shughuli pevu. Tena ukipata Msimamizi wa Ujenzi Mjanja mjanja ndio balaa zaidi.Pesa ya emergency lazima na wanashauri pia ukipata mtu makini kuna nyumba ya kawaida na gorofa ... Kweny gorofa unaweza kuweka pesa ya emergency hata zaidi ya mil 30 kwa wale waonfanya ujenzi wa moja kwa moja ili kumaliza.
Mara nyingi inaweza isitumike kabisa.
Tetetetete mi nakumbuka kipindi najenga nilikua naingia kazini mchana kuanzia asuhi nipo saiti wife analeta mboga Mimi na mafundi wangu tunasonga ugali crate za bia hazipungui mbili kula dadeki. Mpaka naenda kujiandaa kuondoka kazini nipo chwee kama ndo Mimi saidia fundi. Kisa wasini pige tuAsante sana. Binafsi nimepokea maua kwa moyo mkunjufu sana. Unaweza ukakadiriwa nyumba hadi kukamilika itakugharimu Tsh 60m, lakini siku ya mwisho ikasimamia Tsh 80m.
Mwanzoni nilikuwa naandika gharama zote ninazotumia. Kila nikinunua kitu, naandika. Baadae nikaona ni ujinga huu kuandika andika. Maana unakuta kuna matumizi mengine unayasahau. Muda wote unakuwa kama karani. Nikajisemea moyoni, kwa kuwa ninausimamia ujenzi mimi mwenyewe hakuna haja ya kuandika. Halafu je, kwani nikiandika..nitarejeshewa pesa zangu?
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
mkuu una fundi wa blandaring unaemjua wa bei kitonga room zipo 3Marhaba ukitaka kujua shuuli ya nyumba pale unapoanza kuongea kiingereza kupandisha boma eti tofal mchanga na cement sio issue sana shuuli unapoanza kuzunvumza kiingereza blandaring rental finishing wirering plumbing plaster floor tiles na n.k
hakuna kipato kikubwa wala kidogo komaaaMie naheshimu sanaa mwenye nyumba yake hata chumba kimoja , shughuli ya ujenzi kwa mtu mwenye kipato cha kuunga unga sio ndogo aiseee