kumbuka pia ndoa ni ya wawiliNimewaza kwa sauti ya juu kabisa, mko wapi wanawake kama wewe nijiolee mmoja anifae nimfae maishani jamani..! [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijaelewa ata kiduchu.. [emoji23] [emoji23]kumbuka pia ndoa ni ya wawili
unatoa nini update yote hayo?
Kuna tatizo hapo kuna watu tupo ktk ndoa zaid ya miaka hiyo na kila siku namuona mpya siku nuingine huwa nakosea namtongoza tena fanya kukaa na mwenzio mrekebishe tatizoJaman mlioko ndoan ndan ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje??
Yan mmewezaje kuishi wawil mpaka miaka hiyo
Yaan mi miaka 2 tu nataman dunia igeuke kichwa chini miguu juu
Yan ukimuona mwenzio unapata hasira gafla
Akisafir unataman asirudi du!!!
Mmewezaje jaman nipen mbinu
We ingia ukiwa na mtu sahihi mwenye hofu ya munguDuh, shida imeanzia wapi ?, kuna kitu mmekoseana na hamjasuluhishana?, hatari hii yaani mmefikia kukasirikiana hivo [emoji849] ,watu tunatamani kuingia huko ila kama ndiyo hivo mmh.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona rahisi!
punguza mihemko
punguza kutaka mwenzako awe kama unavyotaka,
timiza majukumu yako kama mwanamke wa kiAfrika na Siyo wa Kizungu.
wachana na Mambo ya equality.. Utabaki unaumia tu.
Weka Imani yako kwa Mungu wako yeye ni zaidi ya Mwanaume unaempa muda wako mwingi.
At last punguza Matarajio.
he's a Human like any other human,Find a reason of why you loved him at first and why are you hating him now....
ukipata jirekebisheni uendane na beat.
GoodMbona rahisi!
punguza mihemko
punguza kutaka mwenzako awe kama unavyotaka,
timiza majukumu yako kama mwanamke wa kiAfrika na Siyo wa Kizungu.
wachana na Mambo ya equality.. Utabaki unaumia tu.
Weka Imani yako kwa Mungu wako yeye ni zaidi ya Mwanaume unaempa muda wako mwingi.
At last punguza Matarajio.
he's a Human like any other human,Find a reason of why you loved him at first and why are you hating him now....
ukipata jirekebisheni uendane na beat.
Jaman mlioko ndoan ndan ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje??
Yan mmewezaje kuishi wawil mpaka miaka hiyo
Yaan mi miaka 2 tu nataman dunia igeuke kichwa chini miguu juu
Yan ukimuona mwenzio unapata hasira gafla
Akisafir unataman asirudi du!!!
Mmewezaje jaman nipen mbinu
Duh, shida imeanzia wapi ?, kuna kitu mmekoseana na hamjasuluhishana?, hatari hii yaani mmefikia kukasirikiana hivo [emoji849] ,watu tunatamani kuingia huko ila kama ndiyo hivo mmh.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaman mlioko ndoan ndan ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje??
Yan mmewezaje kuishi wawil mpaka miaka hiyo
Yaan mi miaka 2 tu nataman dunia igeuke kichwa chini miguu juu
Yan ukimuona mwenzio unapata hasira gafla
Akisafir unataman asirudi du!!!
Mmewezaje jaman nipen mbinu
Matarajio yasiyo halisi kabla Ya ndoa ndo yanafanya ndoa inakuwa ngumu,Jaman mlioko ndoan ndan ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje??
Yan mmewezaje kuishi wawil mpaka miaka hiyo
Yaan mi miaka 2 tu nataman dunia igeuke kichwa chini miguu juu
Yan ukimuona mwenzio unapata hasira gafla
Akisafir unataman asirudi du!!!
Mmewezaje jaman nipen mbinu
Tumia nguvu ya jinsia yako kumtuliza mwenzio
Bora wewe umenipa mbinu wengine wananipa lawama tuMatarajio yasiyo halisi kabla Ya ndoa ndo yanafanya ndoa inakuwa ngumu,
Uliingia humo kutafuta nini ambacho ulikikosa ukiwa alone (kwenu) ?
Kama ulichotarajia hukukikuta obviously lazima pawe pagumu
Au kama ulikikuta kikatoweka hapo katikati lazima pawe pagumu pia
Namna nzuri nadhani Ya kukabiliana na hii taasisi ni kupunguza kabisa matarajio yako kwa mwenzio,
Yale yaliyo ndani ya uwezo wako yafanye Mwenyewe yasiyo ndani ya uwezo wako (kibinadam) achana nayo,weka nguvu kwa unayoyamudu kibinadam,
Sent using Jamii Forums mobile app
Amen, ila watu wengine wanapretend kuja kushtuka uko ndani ya ndoa na mtu uliyedhani ana hofu ya Mungu kumbe hana.
Dogo kama mke hakusaliti kaa nae mjenge familia, ingawa hujasema ndoa yako ina msukosuko gani ila nakushauri hakuna mtaalamu wa kushauri ndoa cha msingi Vumilia yataishaJaman mlioko ndoan ndan ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje??
Yan mmewezaje kuishi wawil mpaka miaka hiyo
Yaan mi miaka 2 tu nataman dunia igeuke kichwa chini miguu juu
Yan ukimuona mwenzio unapata hasira gafla
Akisafir unataman asirudi du!!!
Mmewezaje jaman nipen mbinu
Yako ina umri gani?
Hapana bado sijaingia huko Baba J, vipi wewe?Yako ina umri gani?
Mi mkongwe ila ndoa mwanaume ni kichwa mke ni shingo, sijawahi kulalamikiwa na ndugu wa mke kuhusu ndoa, wife yuko very smart and matured hana papara hata likitokea jambo tunalimaliza kwa mjdala kunako bed