Mlioko kwenye ndoa zaidi ya miaka 5

Mlioko kwenye ndoa zaidi ya miaka 5

Jaman mlioko ndoan ndan ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje??
Yan mmewezaje kuishi wawil mpaka miaka hiyo

Yaan mi miaka 2 tu nataman dunia igeuke kichwa chini miguu juu
Yan ukimuona mwenzio unapata hasira gafla
Akisafir unataman asirudi du!!!
Mmewezaje jaman nipen mbinu
Kuna tatizo hapo kuna watu tupo ktk ndoa zaid ya miaka hiyo na kila siku namuona mpya siku nuingine huwa nakosea namtongoza tena fanya kukaa na mwenzio mrekebishe tatizo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona rahisi!
punguza mihemko
punguza kutaka mwenzako awe kama unavyotaka,
timiza majukumu yako kama mwanamke wa kiAfrika na Siyo wa Kizungu.
wachana na Mambo ya equality.. Utabaki unaumia tu.
Weka Imani yako kwa Mungu wako yeye ni zaidi ya Mwanaume unaempa muda wako mwingi.
At last punguza Matarajio.
he's a Human like any other human,Find a reason of why you loved him at first and why are you hating him now....
ukipata jirekebisheni uendane na beat.

Umenifurahisha sana leo. Jioni nakupa outing... kaa mkao. Tukutane pale pale the same venue.

-Kaveli-
 
Mbona rahisi!
punguza mihemko
punguza kutaka mwenzako awe kama unavyotaka,
timiza majukumu yako kama mwanamke wa kiAfrika na Siyo wa Kizungu.
wachana na Mambo ya equality.. Utabaki unaumia tu.
Weka Imani yako kwa Mungu wako yeye ni zaidi ya Mwanaume unaempa muda wako mwingi.
At last punguza Matarajio.
he's a Human like any other human,Find a reason of why you loved him at first and why are you hating him now....
ukipata jirekebisheni uendane na beat.
Good

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jaman mlioko ndoan ndan ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje??
Yan mmewezaje kuishi wawil mpaka miaka hiyo

Yaan mi miaka 2 tu nataman dunia igeuke kichwa chini miguu juu
Yan ukimuona mwenzio unapata hasira gafla
Akisafir unataman asirudi du!!!
Mmewezaje jaman nipen mbinu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jaman mlioko ndoan ndan ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje??
Yan mmewezaje kuishi wawil mpaka miaka hiyo

Yaan mi miaka 2 tu nataman dunia igeuke kichwa chini miguu juu
Yan ukimuona mwenzio unapata hasira gafla
Akisafir unataman asirudi du!!!
Mmewezaje jaman nipen mbinu

Itakuwa humpendi mwenza wako mkuu
 
Jaman mlioko ndoan ndan ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje??
Yan mmewezaje kuishi wawil mpaka miaka hiyo

Yaan mi miaka 2 tu nataman dunia igeuke kichwa chini miguu juu
Yan ukimuona mwenzio unapata hasira gafla
Akisafir unataman asirudi du!!!
Mmewezaje jaman nipen mbinu
Matarajio yasiyo halisi kabla Ya ndoa ndo yanafanya ndoa inakuwa ngumu,
Uliingia humo kutafuta nini ambacho ulikikosa ukiwa alone (kwenu) ?
Kama ulichotarajia hukukikuta obviously lazima pawe pagumu

Au kama ulikikuta kikatoweka hapo katikati lazima pawe pagumu pia
Namna nzuri nadhani Ya kukabiliana na hii taasisi ni kupunguza kabisa matarajio yako kwa mwenzio,

Yale yaliyo ndani ya uwezo wako yafanye Mwenyewe yasiyo ndani ya uwezo wako (kibinadam) achana nayo,weka nguvu kwa unayoyamudu kibinadam,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumia nguvu ya jinsia yako kumtuliza mwenzio
Matarajio yasiyo halisi kabla Ya ndoa ndo yanafanya ndoa inakuwa ngumu,
Uliingia humo kutafuta nini ambacho ulikikosa ukiwa alone (kwenu) ?
Kama ulichotarajia hukukikuta obviously lazima pawe pagumu

Au kama ulikikuta kikatoweka hapo katikati lazima pawe pagumu pia
Namna nzuri nadhani Ya kukabiliana na hii taasisi ni kupunguza kabisa matarajio yako kwa mwenzio,

Yale yaliyo ndani ya uwezo wako yafanye Mwenyewe yasiyo ndani ya uwezo wako (kibinadam) achana nayo,weka nguvu kwa unayoyamudu kibinadam,

Sent using Jamii Forums mobile app
Bora wewe umenipa mbinu wengine wananipa lawama tu
 
Jaman mlioko ndoan ndan ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje??
Yan mmewezaje kuishi wawil mpaka miaka hiyo

Yaan mi miaka 2 tu nataman dunia igeuke kichwa chini miguu juu
Yan ukimuona mwenzio unapata hasira gafla
Akisafir unataman asirudi du!!!
Mmewezaje jaman nipen mbinu
Dogo kama mke hakusaliti kaa nae mjenge familia, ingawa hujasema ndoa yako ina msukosuko gani ila nakushauri hakuna mtaalamu wa kushauri ndoa cha msingi Vumilia yataisha
 
Back
Top Bottom