Bi dentamol
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,018
- 2,130
Mmh inategemea lakini mahusiano yao hayo yapojeEt jmn mke na mume ni kawaida mume kwenda chumbani kulala saa 5 au 6 au 7 usiku kila siku?
Yan et jamaa yake wakimaliza kula watu wote wanasambaa anabaki yeye na simu mpaka saa 6 au 7 ndio anaenda kulala anadai ameshaongea mpaka amechoka.
Sio mimi jmn msinipopoe mi nishaachika muda tu ni dada yangu
Nimecheka kwa sautiKulala ni lazima kwani?
Mtetezi wa wanawake.π€£Ngoja waje kumtwika lawama mwanamke.
Hiyo sio sawa hata kidogo.
βKabla ya kuchangia na kumpopoa huyo Mwanaume aliyeongelewa Tafadhali pitia nyuzi za mtoa mada. WiFi ya kichwani mwake haipo connected vyema
We tena nikome nimekwambia inanihusu mimi?Kabla ya kuchangia na kumpopoa huyo Mwanaume aliyeongelewa Tafadhali pitia nyuzi za mtoa mada. WiFi ya kichwani mwake haipo connected vyema
Ndio maana [emoji2960]We tena nikome nimekwambia inanihusu mimi?
Daaah umeachika lini ? π€£Et jmn mke na mume ni kawaida mume kwenda chumbani kulala saa 5 au 6 au 7 usiku kila siku?
Yan et jamaa yake wakimaliza kula watu wote wanasambaa anabaki yeye na simu mpaka saa 6 au 7 ndio anaenda kulala anadai ameshaongea mpaka amechoka.
Sio mimi jmn msinipopoe mi nishaachika muda tu ni dada yangu
Sasa kama mke ana tumbo kama pakacha la embe na i anataka kuwahi kulala? Wake tatizo sometimes body mnajiachia sana mpak u akosa mvutoNgoja waje kumtwika lawama mwanamke.
Hiyo sio sawa hata kidogo.
Sasa wee kama yeye kaachika sii inamaana hiyo familia ni sio watu wakuoadaaah umeachika lini ? π€£
π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£
Ni kitu gani kinakufanya unaamini matukio yote ni yangu??? Yan una Amini kabisa kuna binadamu wahv na still huyo mwanaume anaendelea kuishi na huyo mwanamkeSasa kama mwanamke umepoteza mvuto unalala kitandan na vitende pajama t-shirts za matangazo ya sensa hunukii, mwanaume awahi kuja kulala anatafuta nini kwako...? Halafu huyo ni wew usimsingizie rafik yako, ila wew dada una matukio mengi bilashaka utakua una matatizo sana binafs tafuta washauri wazuri wakusaidie kisaikolojia lasivyo utaachana na kila mwanaume...
ππnina mwezi sasa nipo single ladydaaah umeachika lini ? π€£
π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£
Wacha bwana!!Sasa kama mke ana tumbo kama pakacha la embe na i anataka kuwahi kulala? Wake tatizo sometimes body mnajiachia sana mpak u akosa mvuto