Bi dentamol
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,018
- 2,130
Eti jamani mke na mume ni kawaida mume kwenda chumbani kulala saa 5 au 6 au 7 usiku kila siku?
Yan et jamaa yake wakimaliza kula watu wote wanasambaa anabaki yeye na simu mpaka saa 6 au 7 ndio anaenda kulala anadai ameshaongea mpaka amechoka.
Sio mimi jmn msinipopoe mi nishaachika muda tu ni dada yangu
Yan et jamaa yake wakimaliza kula watu wote wanasambaa anabaki yeye na simu mpaka saa 6 au 7 ndio anaenda kulala anadai ameshaongea mpaka amechoka.
Sio mimi jmn msinipopoe mi nishaachika muda tu ni dada yangu