Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 2,699
- 7,726
ππ Tupo wanaume wavumilivu tunapigwa matukio ya kigaidi ila tupo tu... Hasara rohoNi kitu gani kinakufanya unaamini matukio yote ni yangu??? Yan una Amini kabisa kuna binadamu wahv na still huyo mwanaume anaendelea kuishi na huyo mwanamke
Du!! Hata ndugu hawawez kukushaur aisee itakua ni limbwata sugu umepewaππ Tupo wanaume wavumilivu tunapigwa matukio ya kigaidi ila tupo tu... Hasara roho
Hapana ni vile tu ukimjua mtu hakupi shida unampuuzia tu end of the day anakuja kuangukia pua mwenyewDu!! Hata ndugu hawawez kukushaur aisee itakua ni limbwata sugu umepewa
daaah pole bwana, maisha mafupi, usipoteze muda kusumbuana na watu...ila umenchekesha π€£ππnina mwezi sasa nipo single lady
π€£Sasa wee kama yeye kaachika sii inamaana hiyo familia ni sio watu wakuoa
Ina maanisha kwamba tatizo lipo kwa huyo mwanamke. Hawajui kuplay lart yao kama wakeπ€£
π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ mkuu imetokea tu kama coincidence , tuseme yeye kaachika sawa, dadake nae moto unamuwakia, avumilie kisa ataogopwa kusemwa hiyo familia haifai kuoa ?
We tena nikome nimekwambia inanihusu mimi?
Hence proved: sheβs crazyKabla ya kuchangia na kumpopoa huyo Mwanaume aliyeongelewa Tafadhali pitia nyuzi za mtoa mada. WiFi ya kichwani mwake haipo connected vyema
Mbususu haina mvuto tena1. Mlete mdhunguuu....!!!π€·ββοΈπ€·ββοΈππ½ππ½ππ½ππ½
2. Wamechokana, hasa mume amechoka na hataki kuliongelea hilo.
3. Ana mchepuko unampa amani, furaha, vicheko na mapenzi.
Wanaume wanavyopenda mbususu halafu aingine chumbani saa 7 usiku....!!
Huyo kamchoka dada/shosti yako.
4. Akili kumkichwa, achambue mchele na pumba afanye maamuzi kabla jua halijazama.
5. Mlete mdhunguuu....! Mdhungu jalabuu....π π π π
Mbususu haina mvuto tena
π€£π€£π€£π€£π€£Wewe alikudanganya nani kupigwa kwinginkwa mbususu kunaondoa mvuto.....wale wanajua kuzitake care mbususu zao mwenyewe unaburudika hadi raha.Wanaume nyiiieee....!!!!
Hivi zile za kununua ambazo zimepigwa /zimechapwa sana na ubapa zinakuwaga na mvuto...!??
Mvuto nakataa maana mngeacha kununua zilizotumika na zinaendelea kutumika.
Sema huyo mwanamke sio mbunifu/sio msafi/chumba hakimvutii mume kuwahi kuingia chumbani kulala.
π€£π€£π€£π€£π€£Wewe alikudanganya nani kupigwa kwinginkwa mbususu kunaondoa mvuto.....wale wanajua kuzitake care mbususu zao mwenyewe unaburudika hadi raha.
Eti jamani mke na mume ni kawaida mume kwenda chumbani kulala saa 5 au 6 au 7 usiku kila siku?
Yan et jamaa yake wakimaliza kula watu wote wanasambaa anabaki yeye na simu mpaka saa 6 au 7 ndio anaenda kulala anadai ameshaongea mpaka amechoka.
Sio mimi jmn msinipopoe mi nishaachika muda tu ni dada yangu
Shida zote za nini jamani? Si mtulie ππAnachart na michepuko yake mpk akimaliza afute kabisa ushahid ndo aje kulala
Michepuko mingine usipomalizana nayo utashangaa inatuma msg wakat uko na mke
Ngoja waje kumtwika lawama mwanamke.
Hiyo sio sawa hata kidogo.