Mliokosa nafasi zoezi la Sensa 2022 msipotoshe. Tuliopata nafasi tuna sifa na vigezo. Hata kuwa na connection ni akili

Mliokosa nafasi zoezi la Sensa 2022 msipotoshe. Tuliopata nafasi tuna sifa na vigezo. Hata kuwa na connection ni akili

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Kuna watu walitaka kupunguzia ugumu wa maisha kupitia vijisenti vya zoezi la sensa la 2022. Baada ya kukosa nafasi hizo wanakuja na ngonjera kuwa waliochaguliwa kuendesha hili zoezi hawana sifa na vigezo. Hili siyo kweli na ni upotoshaji mkubwa. Wote tuliopata tunazo sifa na vigezo.

Kwa miaka hii ambapo wasomi tuko wengi ili kupata nafasi lazima uwe na connection (godfather), usitegemee vyeti vyako tu.

Yaani mfano kuna waombaji 20,000 kati ya hao wenye sifa wapo 15,000 lkn wanatakiwa watu 5,000. Hapa utatumia kigezo gani kingine kuchagua zaidi ya muangalia connection (wenye godfathers)?

Kuwa na connection pia ni added advantage. Connection yako inaweza kuwa kadi ya ccm, mtoto wa mkubwa, mtoto wa diwani, kuswali msikiti mmoja na mtoa ajira, kusali jumuiya moja na mtoa ajira, n.k.
 
Basi kila mtu alie kilio chake. Kama wewe umekosa ualimu mwingine kapata
Basi kila mtu alie kilio chake. Kama wewe umekosa ualimu mwingine kapata
Milioni moja unakuja kuifungulia nyuz kibao na kualalilsha maovu. Kifupi malalamiko hayajaanza kwenye sensa tu ni kawaida jamii kuwa na migogoro.

Sasa kama umepata basi tulia piga kazi hao wanaolalamika watajibiwa na tume ya sensa muda ukifika.

Sio kisa umepata wewe basi ndio uwaone wanaolalamika wanapotosha, kuwa na heshma kijana

Wanaolalamika wana hoja za msingi waache wenye mamlaka wazisikilize yakiwemo
1 Aliyeomba maudhui anamfanyia usaili mwombaji mwenzie wa maudhui
2 Wapo ambao hawakuomba wala kufanya usahili ili majina yao yametoka.

Hitimisho
Hakuna haja ya kumlaumu Magufuli kwamba aliharibu uchaguzi kwa kuwapitisha wabunge ambao hawakushinda ilihali utamaduni huu umeasisiwa na CCM na unaonekana umekubalika.

Kwahiyo hata hawa wabunge tusiwalaumu kwa kuwadhrumu wenzao nao walikuwa na godfatherwao Magufuli
 
Lete yako ya kijanja. Usituletee porojo hapa eti kwa kuwa wewe usiye na connection umekosa basi waliopata hawafai. Stupid.

Nani alikuambia ukose social attachment??
-Nani kakwambia Mimi niliomba sensa?
- Unadhani kila mtu kaomba sensa?; unadhani Kila mtu ni jobless Kama ww? Mlioomba Kazi za sensa Wengi wenu kipato chenu cha Chini.
 
-Nani kakwambia Mimi niliomba sensa?
- Unadhani kila mtu kaomba sensa?; unadhani Kila mtu ni jobless Kama ww? Mlioomba Kazi za sensa Wengi wenu kipato chenu cha Chini.
Sasa kama hukuomba mbona povu??
 
-Nani kakwambia Mimi niliomba sensa?
- Unadhani kila mtu kaomba sensa?; unadhani Kila mtu ni jobless Kama ww? Mlioomba Kazi za sensa Wengi wenu kipato chenu cha Chini.
"SIZITAKI MBICHI HIZI"
😂😂😂😂
 
Alzheimer inasumbua
UNFPA wana kazi kubwa ya kufanya
 
Kuna watu walitaka kupunguzia ugumu wa maisha kupitia vijisenti vya zoezi la sensa la 2022. Baada ya kukosa nafasi hizo wanakuja na ngonjera kuwa waliochaguliwa kuendesha hili zoezi hawana sifa na vigezo. Hili siyo kweli na ni upotoshaji mkubwa. Wote tuliopata tunazo sifa na vigezo.

Kwa miaka hii ambapo wasomi tuko wengi ili kupata nafasi lazima uwe na connection (godfather), usitegemee vyeti vyako tu.

Yaani mfano kuna waombaji 20,000 kati ya hao wenye sifa wapo 15,000 lkn wanatakiwa watu 5,000. Hapa utatumia kigezo gani kingine kuchagua zaidi ya muangalia connection (wenye godfathers)?

Kuwa na connection pia ni added advantage. Connection yako inaweza kuwa kadi ya ccm, mtoto wa mkubwa, mtoto wa diwani, kuswali msikiti mmoja na mtoa ajira, kusali jumuiya moja na mtoa ajira, n.k.
Miaka 10 ijayo hakika nchi yetu itakuwa ya hovyo sana. Nawahurumia wanangu, naililia Tanzania
 
Miaka 10 ijayo hakika nchi yetu itakuwa ya hovyo sana. Nawahurumia wanangu, naililia Tanzania
Huku ndiko tulikofika. Nchi ambayo haitengenezwi fursa za ajira matokeo yake ndiyo hii.

Miaka 20 ijayo watakaohesabika kama madon wa taifa hili watakuwa ni waendesha bodaboda.

Wadangaji ndiyo watakuwa maisha ya kati.

Mateja ndiyo watahesabika kama wananchi wanyonge (walalahoi).
 
Hata ujinga wenyewe hauko hivi.
Kwenye zoezi la sensa kunahitajika wenye kujua na kusoma tu. Sasa wamekuja watu laki 2 na wanaojua kusoama na kuandika lkn nafasi ni 200 tu. Unataka nini lifanyike?
 
Kuna watu walitaka kupunguzia ugumu wa maisha kupitia vijisenti vya zoezi la sensa la 2022. Baada ya kukosa nafasi hizo wanakuja na ngonjera kuwa waliochaguliwa kuendesha hili zoezi hawana sifa na vigezo. Hili siyo kweli na ni upotoshaji mkubwa. Wote tuliopata tunazo sifa na vigezo.

Kwa miaka hii ambapo wasomi tuko wengi ili kupata nafasi lazima uwe na connection (godfather), usitegemee vyeti vyako tu.

Yaani mfano kuna waombaji 20,000 kati ya hao wenye sifa wapo 15,000 lkn wanatakiwa watu 5,000. Hapa utatumia kigezo gani kingine kuchagua zaidi ya muangalia connection (wenye godfathers)?

Kuwa na connection pia ni added advantage. Connection yako inaweza kuwa kadi ya ccm, mtoto wa mkubwa, mtoto wa diwani, kuswali msikiti mmoja na mtoa ajira, kusali jumuiya moja na mtoa ajira, n.k.
Hivi kwa mfano malipo ya sensa ingekuwa million 15 ingekuwaje?
 
Kuna watu walitaka kupunguzia ugumu wa maisha kupitia vijisenti vya zoezi la sensa la 2022. Baada ya kukosa nafasi hizo wanakuja na ngonjera kuwa waliochaguliwa kuendesha hili zoezi hawana sifa na vigezo. Hili siyo kweli na ni upotoshaji mkubwa. Wote tuliopata tunazo sifa na vigezo.

Kwa miaka hii ambapo wasomi tuko wengi ili kupata nafasi lazima uwe na connection (godfather), usitegemee vyeti vyako tu.

Yaani mfano kuna waombaji 20,000 kati ya hao wenye sifa wapo 15,000 lkn wanatakiwa watu 5,000. Hapa utatumia kigezo gani kingine kuchagua zaidi ya muangalia connection (wenye godfathers)?

Kuwa na connection pia ni added advantage. Connection yako inaweza kuwa kadi ya ccm, mtoto wa mkubwa, mtoto wa diwani, kuswali msikiti mmoja na mtoa ajira, kusali jumuiya moja na mtoa ajira, n.k.
Lengo ni kutuonesha kwamba umepata ama? Acha utoto mkuu
 
Lengo ni kutuonesha kwamba umepata ama? Acha utoto mkuu
Lengo siyo Hilo. Hivi hata ungekuwa wewe umepokea waombaji 10,000 wote Wana sifa ya kuipata kazi. Lkn una nafasi 4 tu. Utatumia mbinu gani kuwakata wengine.???
 
Back
Top Bottom