Mliokulia kijijini poleni sana, mnakula vyakula duni sana

Mliokulia kijijini poleni sana, mnakula vyakula duni sana

Mdukuzii

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2022
Posts
2,552
Reaction score
6,422
Ni kudra za mwenyezi Mungu tu kuwa bado mnaishi. Niko kijiji fulani sitataja mkoa. Niko na wenyeji wangu.

Asubuhi uji hauna sukari, mchana tumekula michembe. Usiku udaga na dagaa kama saba hivi kwenye bakuli.

Maisha haya magumu sana kijijini. Tuwaombee
 
Nilikaa upareni aisee sijawai kuona vyakula vya ajabu kama huko kwanza kande hazina sukari na ni magumu yale mahindi ambayo yamekomaa wala hawaja koboa, unatafuna kama karanga Yani Yale maji yaliyopikiwa izo kande bado nice meupe.

Tunakaa pamepikwa wali eti mboga ni maziwa ya mgando yaani wavivu kupikia hata mchuzi. Siku moja walipika mchzi wa kambare yaani wamechemsha tu kama supu then wanaweka juu ya wali, ukiangalia kama wali umemwagiwa maji vile.😂😂😂😂

Asubuhi safi maandazi, uzuri nilienda na sister kama wiki mbili akaanza kupika yeye Yale mambo ya kipwani aisee walikuwa wanaenjoy kinoma, alipika vibibi basi bibi akavigawa kwa watu kibao waonje kesho nikawaona wanakuja pale wanataka sister awafundishe kupika na kule Nazi ilikuwa ni bei ghali sana ilikuwa ni mkomazi.
 
Nilikaa upareni aisee sijawai kuona vyakula vya ajabu kama huko kwanza kande hazina sukari na ni magumu Yale mahindi ambayo yamekomaa wala hawaja koboa ,unatafuna kama karanga Yani Yale maji yaliyopikiwa izo kande bado nice meupe ...

Tunakaa pamepikwa wali eti mboga ni maziwa ya mgando yaani wavivu kupikia hata mchuzi ..siku moja walipika mchzi wa kambare yaani wamechemsha tu kama supu then wanaweka juu ya wali ,ukiangalia kama wali umemwagiwa maji vile.😂😂😂😂

Asubuhi safi maandazi ,uzuri nilienda na sister kama wiki mbili akaanza kupika yeye Yale mambo ya kipwani aisee walikuwa wanaenjoy kinoma, alipika vibibi basi bibi akavigawa kwa watu kibao waonje kesho nikawaona wanakuja pale wanataka sister awafundishe kupika na kule Nazi ilikuwa ni begi ghali sana ilikuwa ni mkomazi.
Dah kwa kweli kuna vyakula ni changamoto sana ila inabidi ule tu ili usionekane unaringa, nimecheka sana hiyo misosi ya kipare
 
Kama una namna ya kuwa saidia fanya hiyo utapata swawabu ni jambo la huzuni watu kukosa chakula
Naweza kuwasaidia kwa siku mbili tatu ila nadhani msimu uliopita haukuwa mzuri kwao, hawana stock ya mchele wala mahindi, na mvua mwaka huu hazieleweki, huenda gali yao ikawa nbaya zaidi
 
Nilikaa upareni aisee sijawai kuona vyakula vya ajabu kama huko kwanza kande hazina sukari na ni magumu Yale mahindi ambayo yamekomaa wala hawaja koboa ,unatafuna kama karanga Yani Yale maji yaliyopikiwa izo kande bado nice meupe ...

Tunakaa pamepikwa wali eti mboga ni maziwa ya mgando yaani wavivu kupikia hata mchuzi ..siku moja walipika mchzi wa kambare yaani wamechemsha tu kama supu then wanaweka juu ya wali ,ukiangalia kama wali umemwagiwa maji vile.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Asubuhi safi maandazi ,uzuri nilienda na sister kama wiki mbili akaanza kupika yeye Yale mambo ya kipwani aisee walikuwa wanaenjoy kinoma, alipika vibibi basi bibi akavigawa kwa watu kibao waonje kesho nikawaona wanakuja pale wanataka sister awafundishe kupika na kule Nazi ilikuwa ni begi ghali sana ilikuwa ni mkomazi.
Nna shangazi yangu yupo jijini Daslamu, lakini ndo misosi yake ya hivyo 'wali supu' [emoji23]
 
Hayo ndo maisha mimi nayapenda sana aiseeeee huwa nikirudi nyumbani huwa napata shida sana kurudi mjini. Wanakula vitu raw, tango nyanya vitunguu sijui nn unachukua shambani unakuja kula. Tuambie ww mjini umekulia nn
Hayo ndo maisha mimi nayapenda sana aiseeeee huwa nikirudi nyumbani huwa napata shida sana kurudi mjini. Wanakula vitu raw, tango nyanya vitunguu sijui nn unachukua shambani unakuja kula. Tuambie ww mjini umekulia nn
Ukame huu tango unalipata wapi, yaani kuna mikoa kama Morogoro, Mbeya na Kagera ina nafuu ila kuna mikoa ukame umewatandika wanakula wasife
 
Ni kudra za mwenyezi Mungu tu kuwa bado mnaishi.
Niko kijiji fulani sitataja mkoa
Niko na wenyeji wangu.
Asubuhi uji hauna sukari
Mchana tumekula michembe
Usiku ufaga ba dagaa kama saba hivi kwenye bakuli,
Maisha haya magumu sana kijijin
Tuwaombee
Hujui chochote.

Ukitaka kujua brain people wa nchi hii (wanatoka huko)

Jiuleze kuna nini?
Kuna vyakula ambavyo ukila vinabakia kwenye mwili kwa faida ya mwili na akili. Mjini wanaita vyakula vya masikini.

Ndugu, jaribu kujifunza zaidi, utashangaa, mikate na sukari ni sumu. Sukuma week na Chinese hadi kabege unazokula mjini zimelowekwa kwenye sumu Kali ya kuua wadudu na binadamu.

Wenzako hawali hiyo sumu, wewe unabugia kama mshamba fulani anayeweza kujisifu kwa kula sumu.
 
Hujui chochote.
Ukitaka kujua brain people wa nchi hii ( wanatoka huko)
Jiuleze kuna nini?
Kunavyakula ambavyo ukila vinabakia kwenye mwili kwa faida ya mwili na akili.
mjini wanaita vyakula vya masikini.
Ndugu, jaribu kujifunza zaidi , utashangaa , mikate na sukari ni sumu. Sukuma week na Chinese hadi kabege unazokula mjini zimelowekwa kwenye sumu Kali ya kuua wadudu na binadamu.
Wenzako hawali hiyo sumu , wewe unabugia kama mshamba Fulani anayeweza kujisifu kwa kula sumu.
Acha kujitoa akili, michembe, udaga na dagaa wawili akili zotatoka wapi? Mwili unataka mlo kamili, protin, vitamin, starch, nimeona kwa macho yangu udumavu wa mwili na akili kijijini, ile miili ya magiant haipo tena, na vijiji vingi siku hizi wabatumia mbolea za viwandani na viuatilifu so kama ni sumu wote tunakula.
 
Ni kudra za mwenyezi Mungu tu kuwa bado mnaishi.

Niko kijiji fulani sitataja mkoa
Niko na wenyeji wangu.

Asubuhi uji hauna sukari.

Mchana tumekula michembe

Usiku udaga na dagaa kama saba hivi kwenye bakuli.

Maisha haya magumu sana kijijin.

Tuwaombee
Si useme tu hupo kijiji cha mpwayungu wilayani Chamwino.

Cc mpwayungu village
 
Inategemeana kuna mikoa ina vyakula poa sana.

upikiwe dona ww na majani ya maboga yameungwa karanga + maziwa mtindi acha mchezo mkuu.
Huo ni mlo wa uhakika, kuna mikoa ukipika hivyo ni sherehe kwao
 
Nilienda usukumani. Picha linaanza wamechinja mbuzi hawaweki vitunguu swaumu kukata shimbi wala ndimi nkawaambia naombeni nipike mchuzi walibloo wenyewe wakashangaa eti htujui km kitunguu swaumu kinakata shombo, Wana karanga ila kande hawaweki karanga nikawawekea siku hyoo weee walikula balaa, kupika mi ndo nilikabidhiwa jiko,asubuhi chapati za mafutazsiku moja nkapika tambi kulikua na mgonjwa bwana wee waliinjoi mgonjwa alikula mpk akatamani tena.

Inshort mapishi Yako pwani bwanaaa tunajua hasaaa, nilikua napika wali Nazi plus ndondo wanakula hawabakishi hapo mi kwetu ndo sijui kupika sasa, nikawa nasema kimoyo wangekua wanakula vya wadogo zangu Hawa [emoji1][emoji1][emoji1]wangepagawa ila mlenda, mtindi na ugali vilinishinda aseehh.
 
Ni kudra za mwenyezi Mungu tu kuwa bado mnaishi.

Niko kijiji fulani sitataja mkoa
Niko na wenyeji wangu.

Asubuhi uji hauna sukari.

Mchana tumekula michembe

Usiku udaga na dagaa kama saba hivi kwenye bakuli.

Maisha haya magumu sana kijijin.

Tuwaombee
Ngoja nijizuie maan
 
Back
Top Bottom