Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Ok noted luckylineMwenye hicho kiwanja yaani yule alomuuziq dogo ndo anakufanyia ujinga.
Yeye alimuuzia dogo kiwanja kwa bei rahisi na wewe dogo akakuuzia kwa bei kubwa hapo ndo tatizo lilianzia.
Kujua shida ni nini ni simple sana kama wewe sio bahili, tembelea huo mtaa anģalia mtu mzima ambae kaishi hapo muda mrefu hasa mwanaume. Fanya research huyo mtu asiwe wale wazee wasiojielewa wanashida kwenye pombe.
Basi nenda kwake mwambie ukweli wote na muombe akupelelezee chanzo cha hayo mauzauza. Wakati unaondoka mwachie hata efu 30 au 50 mwambie hiyo ni ya vocha tuwasiliane. Usubiri majibu kwa muda.
AsanteNdugu yangu mleta uzi
Usipoteze muda wako wala pesa zako kwa kwenda sijui kwa wazee wa hilo eneo wala kwenda kwa waganga.
Usimtegee binadamu hata kidogo ndg yangu watakuongezea matatizo na wataishia kukugombanisha na majirani utawachukia watu kwa sababu ya maneno watakayokwambia. Maana utaanza kuambiwa mara fulani mchawi
Ishi peace na majirani zako
Ukiona chochote kwenye nyumba yako cha kishirikina kichome moto
Mtegemee Mungu tu
Watafanya mauzauza yao yote baadaye watachoka
Unaishi Ofisini?Mimi hili hekalu langu nilikabidhiwa ndani ya miezi miwili tu baada ya kuwapa kampuni tenda ya ujenzi😎😎😎
View attachment 2369574
Mkuu ushawahi kufanya hivyo?Ukipuuzia hakuna baya lolote utapata, ukiwaza na kuchukuliwa serious tegemea mabalaa mbele. Uchawi dawa yake ni kupuuzia. Ndio maana unashauriwa ukisikia usiku wachawi wanawanga au kucheza juu ya bati, toka nje kaa jifanye huna habari tena vuta na kiti kabisa chukua simu peruzi mtandaoni.
Wachawi wanapenda kutiliwa maanani, ukiwapuuzia hawana tena issue
Haya ndo maneno 🤝🤝🤝💯Uchawi dawa yake ni kupuuzia.
Wachawi wanapenda kutiliwa maanani, ukiwapuuzia hawana tena issue
Ni lazima kuwaachia, kwenye mji wangu ukiingia bila kufuata protocol kuanzia saa 4 usiku mpaka saa 12 hakuna rangi utaacha ona. Hata hao walozi watafanya mambo yao nje ya gate la himaya yangu na sio ndani.Vip hao mbwa usiku uliwaachia nje
Okoka ili Yesu awe Bwana na Mwokozi wako. Hayo yote yatakwishaWadau niombe msaada kihusu mada tajwa hapo juu. Nimekuwa napambana na ujenzi wa kibanda changu cha ndoto yangu kwa kipindi cha miaka mitano hivi.
Ilivyofika mwaka jana wakati wanapiga plasta nilikuta kitu kisichocha kawaida katika mchanga, nilimkuta sungura aliyechinjwa akiwa amefukiwa kwenye mchanga.
Tukio hilo nililipuzia nikamtupa huyo sungura kwa kumfukia kwenye shimo.
Mwezi huu tena baada kusimama ujenzi kwa muda mrefu nilianza kujenga fensi cha kushangaza kwenye msingi uliochimbwa tulikuta ngozi ya kondoo ikiwa imefukiwa napo nilipuzia
Kilichosababisha kuandika thread hii ni tukio la leo tumekuta kisu kilicho na damu pamoja na manyoya ya ndege kisu kikiwa na damu.
Niombe wadau walioexperience changamoto hiyo mlifanyeje. Lakini nini maana ya mauzauza hayo? Nini kinatafutwa
Kuhusu kiwanja niliuziwa na kijana mmoja ambaye naye alinunua kwa mmiliki, ambapo huyo kijana naye anaishi karibu na jengo langu ingawa miye sijahamia
Hapo hamna kitu, ni mapicha picha tu hayo. Tafuta na wewe style yako ya mapicha picha ufanye hapo kwenye eneo lako la ujenzi uone kama kuna jirani yoyote atarudi tena hapo kufanya mauzauza. Tafuta mmbwa koko mmoja mweusi, mpulizie rangi nyekundu upande mmoja, mvalishe shanga nyingi sana alafu mfungie chini ya mti hapo kwenye kiwanja kwa wiki moja alafu baada ya hapo mfungulie azurure hapo mtaani. Hapo utakua umemaliza kazi.Wadau niombe msaada kihusu mada tajwa hapo juu. Nimekuwa napambana na ujenzi wa kibanda changu cha ndoto yangu kwa kipindi cha miaka mitano hivi.
Ilivyofika mwaka jana wakati wanapiga plasta nilikuta kitu kisichocha kawaida katika mchanga, nilimkuta sungura aliyechinjwa akiwa amefukiwa kwenye mchanga.
Tukio hilo nililipuzia nikamtupa huyo sungura kwa kumfukia kwenye shimo.
Mwezi huu tena baada kusimama ujenzi kwa muda mrefu nilianza kujenga fensi cha kushangaza kwenye msingi uliochimbwa tulikuta ngozi ya kondoo ikiwa imefukiwa napo nilipuzia
Kilichosababisha kuandika thread hii ni tukio la leo tumekuta kisu kilicho na damu pamoja na manyoya ya ndege kisu kikiwa na damu.
Niombe wadau walioexperience changamoto hiyo mlifanyeje. Lakini nini maana ya mauzauza hayo? Nini kinatafutwa
Kuhusu kiwanja niliuziwa na kijana mmoja ambaye naye alinunua kwa mmiliki, ambapo huyo kijana naye anaishi karibu na jengo langu ingawa miye sijahamia
Unajenga wilaya gani na sehemu gani mzee?Mmmh miye ninaishi mbali na ujenzi unapofanyika, na ni mara chache sana kuwepo wakati ujenzi unafanyika yupo dogo ndiyo anasimamia
Usishangae sana wala usiumize kichwa, ipo siku utakuta hata kondom, mizoga ya mbwa n.k.. hii ni kwa sababu hujahamia bado ni pagale.Wadau niombe msaada kihusu mada tajwa hapo juu. Nimekuwa napambana na ujenzi wa kibanda changu cha ndoto yangu kwa kipindi cha miaka mitano hivi.
Ilivyofika mwaka jana wakati wanapiga plasta nilikuta kitu kisichocha kawaida katika mchanga, nilimkuta sungura aliyechinjwa akiwa amefukiwa kwenye mchanga.
Tukio hilo nililipuzia nikamtupa huyo sungura kwa kumfukia kwenye shimo.
Mwezi huu tena baada kusimama ujenzi kwa muda mrefu nilianza kujenga fensi cha kushangaza kwenye msingi uliochimbwa tulikuta ngozi ya kondoo ikiwa imefukiwa napo nilipuzia
Kilichosababisha kuandika thread hii ni tukio la leo tumekuta kisu kilicho na damu pamoja na manyoya ya ndege kisu kikiwa na damu.
Niombe wadau walioexperience changamoto hiyo mlifanyeje. Lakini nini maana ya mauzauza hayo? Nini kinatafutwa
Kuhusu kiwanja niliuziwa na kijana mmoja ambaye naye alinunua kwa mmiliki, ambapo huyo kijana naye anaishi karibu na jengo langu ingawa miye sijahamia