mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 704
- 2,435
Nauliza tu mliokuwepo kwenye msafara wa land Rover Arusha, hii gari one zero namini ilikuwepo gari Moja imara sana, ila lazima uwe fundi ikutumia hii gari nauliza ili mwakani nitoe juu ya mawe nami nije