Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sam mwangwana, huo wimbo nina historia nao ndefu sana, kuna Lp ipo home, ina nyimbo tatu, bana bacameron, zimbwabwe na maria teboNdo hivyo!
Sijazaliwa kipindi hicho, lakini haki ya nani huu wimbo huwa sichoki kuusikiliza. Waheshimiwa mliokuwepo kipindi unatoka naomba mnipatie picha tu la vibe Lake lilikuaje maana hiki kibao si cha mchezomchezo!
Ndo hivyo!
Sijazaliwa kipindi hicho, lakini haki ya nani huu wimbo huwa sichoki kuusikiliza. Waheshimiwa mliokuwepo kipindi unatoka naomba mnipatie picha tu la vibe Lake lilikuaje maana hiki kibao si cha mchezomchezo!
Huu wimbo ni hatari tupu...Ndo hivyo!
Sijazaliwa kipindi hicho, lakini haki ya nani huu wimbo huwa sichoki kuusikiliza. Waheshimiwa mliokuwepo kipindi unatoka naomba mnipatie picha tu la vibe Lake lilikuaje maana hiki kibao si cha mchezomchezo!
Soki nakufi bandeko..nzela na ngai ya bomoi..Kuna siku moja nikiwa o-level mwanzoni mwa miaka ya 2000 niko home mida kama saa 5 asubuhi, redio one iko ON huku Julius Nyaisanga akiendesha kipindi cha zilipendwa. Nikaona ngoja nibadili station ila nabadili bi mkubwa akaniamuru acha hapohapo usibadili. Nikagundua anasikiliza nyimbo za ujanani mwake. Wimbo uliokuwa ukipigwa ni Nyakokonya wa Les Mangelepa. Ule wimbo ukipigwa leo vijana hawawezi kuelewa kabisa ila kwa enzi za wazazi wetu ndo ilikuwa hit song. 😄
Huyu jamaa anazungumza kiswahili,lingala,french nadhani na kereno, ndio maana akawa na uwezo wa kuimba hata hiyo kabibi,pure talentIla nyimbo ya Sam Mangwana ambayo nasikiliza tanguy utoto ni Kabibi. Hii nyimbo niliikariri kabisa. Mpaka leo hii ninayo na jana tu nimetoka kuisikiliza. Big up to Mangwana.
Wewe utakuwa ni muhenga mwenzangu.Sam mwangwana, huo wimbo nina historia nao ndefu sana, kuna Lp ipo home, ina nyimbo tatu, bana bacameron, zimbwabwe na maria tebo
kila wimbo uliotajwa hapa nimeenda kuushusha you tube
Fanya ku share nasi tujumuike kupata hiyo ladha Mkuu
Fanya ku share nasi tujumuike kupata hiyo ladha Mkuu
Fanya ku share nasi tujumuike kupata hiyo ladha Mkuu
aliyepiga rthym guitar na kinandaHuo wimbo ni kiama una vyombo vinapigwa humo hatari
Walitulia mnoaliyepiga rthym guitar na kinanda