Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Namnukuu Rais Samia:
"Tozo za miamala tuliweka kwa nia njema, zitaendelea ila tutarekebisha baada ya kilio chenu"
NOTE: Kuna watu walikuwa wanamtukana Mwigulu kuhusu hizi tozo na kusema kuna kundi limemzunguka mama ili kumharibia. Na kama kawaida wajinga walikuwa wanapeleka hizo lawama kwa kile wanachoita sukuma gang.
Unakuta mtu anasema, Samia fukuza watu wa Magufuli, maana ndio wanaokuharibia, na hapa alikuwa analengwa Mwigulu na PM Majaliwasasa unajiuliza yeye Samia si katoka huko huko kwa Magufuli?
Sasa ka-clear kwamba hizo tozo waliweka na yeye akiwemo, haya bado mnaamini kuna kitu kinaitwa sukuma gang ina mharibia mama?
Yote kwa yote, mama anaupiga mwingi!
"Tozo za miamala tuliweka kwa nia njema, zitaendelea ila tutarekebisha baada ya kilio chenu"
NOTE: Kuna watu walikuwa wanamtukana Mwigulu kuhusu hizi tozo na kusema kuna kundi limemzunguka mama ili kumharibia. Na kama kawaida wajinga walikuwa wanapeleka hizo lawama kwa kile wanachoita sukuma gang.
Unakuta mtu anasema, Samia fukuza watu wa Magufuli, maana ndio wanaokuharibia, na hapa alikuwa analengwa Mwigulu na PM Majaliwasasa unajiuliza yeye Samia si katoka huko huko kwa Magufuli?
Sasa ka-clear kwamba hizo tozo waliweka na yeye akiwemo, haya bado mnaamini kuna kitu kinaitwa sukuma gang ina mharibia mama?
Yote kwa yote, mama anaupiga mwingi!