GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwa Kujiamini kabisa GENTAMYCINE niliandika Uzi wa kuhusu urejeo Wao Kikosini na nikasema kuwa Timu ya Taifa ya Taifa Stars ikirejea tu kutoka nchini Misri watajumuishwa na hatimaye kweli imekuwa kama nilivyosema na wako Kikosini ( Kambini ) sasa.
Jamani sikutwaa Tuzo ya Mwanachama Bora Jukwaa la Michezo ( Sports ) JamiiForums kwa mwaka 2022 bure bali nilistahili na nitashinda mno hadi Wanaonichukia wakiongozwa na niliyemshinda na ambaye kamwe hatonishinda Greatest Of All Time Wapasuke Misamba yao.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Jamani sikutwaa Tuzo ya Mwanachama Bora Jukwaa la Michezo ( Sports ) JamiiForums kwa mwaka 2022 bure bali nilistahili na nitashinda mno hadi Wanaonichukia wakiongozwa na niliyemshinda na ambaye kamwe hatonishinda Greatest Of All Time Wapasuke Misamba yao.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!