Mlionitukana Na Kunidhihaki Kuhusu Taarifa ya Gadner Niombeni Radhi

mbona umeishobokea sana hii habari we NGUCHA!!!!! unamaslahii au ndo kutaka kuchukua nafasi ya KOMANDOO??
Hakuna mtelemko hapo..
G amesharudi kwa mzazi mwenzie aliemtosa siku nyingi baada ya kubanwa na KOMANDO.
SASA WANALEA MTOTO WAO na wanampango wa kupiga PACHA yaani nn'dabo aseeee!!
 

Huna Tofauti Na Simu Yenye " Virus " Inayotakiwa " Kuflashiwa " Ili Irudi Katika Hali Yake Ya Kawaida.
 
Msifikiri Watu Tupo HUMU Kupoteza Muda Na Badala Yake Mngekuwa Hata Basi Mtatupa Pole Na Kututia Moyo Kwa JITIHADA Zetu Za Kufanya UFUKUNYUKU WA KUTUKUKA Wa TAARIFA Mbalimbali ...
Sasa kuleta habari za clouds fm humu si ndio kupoteza muda kwenyewe huko
 
Hahaaa kuna watu hasa wa mrengo fulani wa siasa wao wapo kupinga tu hata kama jambo lina ukweli
 
[emoji174] [emoji174] [emoji174] [emoji174] ndio karudishwa Mawingu fm ???kweli watu wanaijua fitina
 
Sasa kuleta habari za clouds fm humu si ndio kupoteza muda kwenyewe huko

Usipokuwa Msikilizaji Wa Clouds FM au Mtazamaji Wa Clouds Tv Basi Lazima Kichwani Mwako Kutakuwa Kumejaa " Jiggers " Tupu. Hakuna Na Mpaka Sasa Sijaona Bado Redio Ya Kuifananisha Na Clouds FM Si Tu Hapa Dar Bali Hata Mikoani Kote. Najua Kwa " UJUHA " Uliotukuka Utakimbilia Kuitaja E FM Ila Kaa au Tambua Kuwa Kuifananisha au Kuilinganisha Clouds FM Na E FM Ni Sawa Sawa Na Leo Hii Kuwafananisha Mabondia Floyd Myweither Wa Marekani ( Clouds FM ) Na Karama Nyilawila Wa Tanzania ( E FM ). Kuhusu Kupoteza Muda Usijali Mkuu Kwani Hata Aliyekupigia " Bao " Ukatungwa Miezi Kenda Nae Alipoteza Mno Muda Huku " Akitiririka " Kwa " Kuekotika " Ilimradi Tu Wewe Uzaliwe.
 
mimi skuombi msamaha, wewe si yule ambaye mliokotwa pamoja pale Arusha, mliokotwa na Komandoo Jde? badae mkareta kiburi,yule wamemurudsha baada ya kauchana na Jide ili bifu lizidi kuwa kubwa kati ya clouds,jide na hyo kamasi mwenzio, mliookotwa pamoja ingawa wewe ulikuja kwenye second selection.
 
Asante kwa majibu yako. Nimepata kitu flan kuwa tabia zetu watz zipo tofauti sana na rwandese ktk masuala ya socialisation koz unawatumia then unawaacha asante nimejifunza kitu. Thanks in advance. Nikipata kingine ntakuja mkuu.
 
Sasa ndo unajidai?[emoji15]
 
Pale ambapo mnyarwanda anapojifananisha na yesu[emoji117] [emoji117] [emoji15] [emoji15]
 
Marekani hakuna bondia mwenye jina hilo. Au Clouds FM walikuambia yupo?

Ungelirekebisha Hapo Ningekuona Wa Maana Lakini Umejitutumua Kote Kutaka SIFA Uonekane Kama Vile Unaniumbua Ila Wanaojua Credibility Yangu Humu Wala Hawatashangaa Kwa Hiyo Typing Error Ndogo Tu. Haya Ridhika Anaitwa Floyd Mayweather Je Una Jingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…