successiful dreamer
Senior Member
- Sep 10, 2019
- 103
- 191
Habari za jioni ndugu zangu,
Naomba uzoefu kwa nyie mliojaliwa kupata magari kwa kuyaagiza toka Japani hasa yale ya mtumba mlifanyaje fanyaje mpaka mzigo ukawafikia? Pale Bandarini mzigo ulitokaje?
Naomba wenye uzoefu na haya mambo mnijuze tafadhari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba uzoefu kwa nyie mliojaliwa kupata magari kwa kuyaagiza toka Japani hasa yale ya mtumba mlifanyaje fanyaje mpaka mzigo ukawafikia? Pale Bandarini mzigo ulitokaje?
Naomba wenye uzoefu na haya mambo mnijuze tafadhari.
Sent using Jamii Forums mobile app