Mliooa au kuolewa na Wanyarwanda tupeni experience

Mliooa au kuolewa na Wanyarwanda tupeni experience

Hiyo siku niko home nashangaa simu inaita kupokea akajitambulisha nakusema kwamba mim nilidondosha lesen na kikaratas chenye namba ya simu,nikamwambia sio kweli mbona lesen yangu ninayo,nilivyokagua kumbe kweli.nilichanganyikiwa unajua,akanambia upo Tz sehemu gani nikamwambia Arusha akanambia atakuja kuniletea lesen yangu,nikamwambia sawa.

Siku ya tatu mtu ananipigia nimeshafika Tz nipo green mountain hotel njoo uchukue leseni yako.
 
Hiyo siku niko home nashangaa simu inaita kupokea akajitambulisha nakusema kwamba mim nilidondosha lesen na kikaratas chenye namba ya simu,nikamwambia sio kweli mbona lesen yangu ninayo,nilivyokagua kumbe kweli.nilichanganyikiwa unajua,akanambia upo Tz sehemu gani nikamwambia Arusha akanambia atakuja kuniletea lesen yangu,nikamwambia sawa.

Siku ya tatu mtu ananipigia nimeshafika Tz nipo green mountain hotel njoo uchukue pasport yako.

Hii chai [emoji477]️ ina pilipili nyingi sana
 
Green mountain hotel ipo Arusha,mzee nikawa naogopa ikabid nimchukue best yangu nikaenda nae kufika nikampigia simu akaja akatukaribisha sote ndani,tukala tukanywa after sometime akanambia nimruhusu best angu aende zake.
 
Huyu mwanamke mpaka leo ninae anataka nimuoe hata kesho ni mrwanda wa asili kabisa ila amesoma Kenya TUK,wazaz walishakua divorced anaishi kwa baba ake ambae ni mtu mwenye uchumi wa kati,ni pc kali na ukweli ni kwamba usipomkoj.....zzzz....



Asee hamtakaa muelewane.anakuja Tanzania sana tu.
 
Kulingana na story kua nyingi mara hili mara lile kuuhusu ku-date wanyarwanda!

Mara mkizaa watoto unapachikiwa mtoto wa katikati na ndugu yake mkeo! Mara wanakimbia na watoto! Yaan vulu vulu
Wengine wanadai ni waaminifu sanaa n.k Nimeona niombe experience.

Eehh

KAMA UMEOA AU UNADATE MNYARWANDA MAMBO YAKO!

Wanyarwanda wana mapenzi ya ukweli si sawa na hawa dada zetu wadangaji
 
Kuna ukweli kiasi fulani,mfano

1;Ku pizZZZ kwao lazima kila shoo.

2;kumwaga maji sio kila saa ila bao la kwanza lazima,na hii ni ishara tosha kwa baadhi yao kwamba hawajaliwa muda mrefu.

3;wakikupenda asee usijaribu kua na gash mwengine wanaweza kuleta hatari kubwa sana kwenye jamii yako na hata wewe mwenyewe.

4;wengi wao wanapenda maisha ya kishua hivyo lazima uwe na uwezo kidogo kama yeye hayuko poa kifedha.

5;hutajutia kwakweli utakavyompeleka atakwenda ila ukitaka ugombane nae anza wewe kukojoa alafu umwambie tupumzike.

6;wanapenda zaid oral sex like romance,katerero,breast https://jamii.app/JFUserGuide,touching kabla ya kumuweka dudu.

7;lazima akojoe kabla ya kuwekwa dudu yani lazima wengi wao.

8;make sure hutumii dawa yoyote kujiboost maana wana asili ya kukufanyia suprise,na akiamua kuliwa anaweza akufungie hoteli hata wiki nzima.mfano mimi analipiaga hoteli kwa siku us dola 60 sawa na kama laki na 60 huduma 24 hrs mid class.
 
Usd 60 ni kama 150k ingawa kuna variations depending on time.
 
Hiyo siku niko home nashangaa simu inaita kupokea akajitambulisha nakusema kwamba mim nilidondosha lesen na kikaratas chenye namba ya simu,nikamwambia sio kweli mbona lesen yangu ninayo,nilivyokagua kumbe kweli.nilichanganyikiwa unajua,akanambia upo Tz sehemu gani nikamwambia Arusha akanambia atakuja kuniletea lesen yangu,nikamwambia sawa.

Siku ya tatu mtu ananipigia nimeshafika Tz nipo green mountain hotel njoo uchukue pasport yako.
Leseni ishakua passport tayari, ama kweli chai ya ndimu [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Alafu tujifunze kukubali ukweli kwamba ukatili na mambo ya hovyo yapo kwa jamii yoyote ile kikubwa ni msimamo wa mwanaume,
Mfano Tanzania kuna jamii zilikua ni matrilineal society haswa katika maamuzi ya familia na umiliki wa clan name.mwera,kikuyu,zaramo,na hata chaga kule kwetu Rombo,hii ilikua zaman kidogo.
 
Leseni ishakua passport tayari, ama kweli chai ya ndimu [emoji1][emoji1][emoji1]
Ndani ya pasport ndio kulikua na lesen na karatas ambayo ilikua na namba,sijajua ilidondoka au aliichomoa makusudikali.
 
Hiyo siku niko home nashangaa simu inaita kupokea akajitambulisha nakusema kwamba mim nilidondosha lesen na kikaratas chenye namba ya simu,nikamwambia sio kweli mbona lesen yangu ninayo,nilivyokagua kumbe kweli.nilichanganyikiwa unajua,akanambia upo Tz sehemu gani nikamwambia Arusha akanambia atakuja kuniletea lesen yangu,nikamwambia sawa.

Siku ya tatu mtu ananipigia nimeshafika Tz nipo green mountain hotel njoo uchukue pasport yako.
We jamaa muongo sana asee daaah!! Undondoshe leseni na namba ya simu!!? Leseni inakaaje na namba ya simu? Pia ulisema hukujua kama umepoteza mpaka ulipopigiwa simu!! Alafu hotelini uliletewa Passport sio leseni tena!!
 
We jamaa muongo sana asee daaah!! Undondoshe leseni na namba ya simu!!? Leseni inakaaje na namba ya simu? Pia ulisema hukujua kama umepoteza mpaka ulipopigiwa simu!! Alafu hotelini uliletewa Passport sio leseni tena!!
Palipokosewa rekebisha ila huo ndio ukweli,usijilazimishe kuamin sawa.
 
Kumbuka sikua dereva hivyo suala la kuulizwa lesen njian halipo.

Pia lesen ilikua ndani ya pasport,kumbuka pasport ni kitabu kidogo ambapo ndani yake unaweza ukaweka lesen nk.

Namba ya simu ni kawaida hata wewe naamin katika makabrasha yako kuna sehemu umeandika namba.

Nafikiri nimekujibu ipasavyo.
 
Nielewe kivipi wakati mimi nimewadate wengi wao?
Jamaa huyo ni mbishi,waswahili wanasema asiyejua maana haambiwi maana.

Huyu hana tofauti na reseter asiyetaka kubadilika,atafeli tena.
Narudia tena ninae mwanamke mnyarwanda na kwao zipo ila haelewi mtoto na yuko tayari kwa lolote hata kuishi Tz,kidume ndio nazingua sitaki kuoa.
 
Sawa mkuu ila kutype nyuma ya keyboard isiwe sababu ya kudharauliana na kuniita panyabuku

Hapo nimemjibu aliyemshauri jamaa aoe mrundi
Hahahahahahaha we jamaa comment yako imenifanya nicheke kifala sana!!
 
[emoji117]Kwanza lazima uwe na vitanda viwili kimoja cha game kingine cha kulalalia maana wana mwaga maji kama kama mto malagarasi

[emoji117]Pili kwao mwanamke anasikilizwa sana hafokewi wala kupigwa mara nying huwa wanajisahau na kutaka hii tabia ku apply nje ya kwao

[emoji117]Tatu wanaamini katika kukuza kizazi chao pure so hata kama akizaa na mtu sio mnyarwanda lazima atazaa na mnyarwanda mwenzie hata mtoto mmoja

[emoji117] Nne wazuri wanapenda bata na wanatupenda sana wa TZ yaani mtz ukienda Rwanda utongozi mara mbili
Mambo haya yameanza kutoweka mkuu.
Mimi niko Rwanda kila mara hata next month natarajiwa kwenda Kigali.
Ni kweli wanapenda Watanzania japo wanadai kuwa sisi wengi wetu tunapiga mdomo sana...uongo.
 
Back
Top Bottom