Mliooa au kuolewa na Wanyarwanda tupeni experience

Mliooa au kuolewa na Wanyarwanda tupeni experience

Jamaa huyo ni mbishi,waswahili wanasema asiyejua maana haambiwi maana.

Huyu hana tofauti na reseter asiyetaka kubadilika,atafeli tena.
Narudia tena ninae mwanamke mnyarwanda na kwao zipo ila haelewi mtoto na yuko tayari kwa lolote hata kuishi Tz,kidume ndio nazingua sitaki kuoa.

Nigawie huyo mchumba!!
 
@Tajiri tumbo kubwa Kulikua na haja ya kutumia kingereza!!??

Ona sasa[emoji23][emoji23][emoji23]unavoaibika
Usimsimange tayari jina limemtambulisha skivyo mkuu😅😅
 
Biashat

Biashara ya Watutsi kuoa wahutu imekuwa kawaida sana na inakua siku kwa siku
Kwasababu wanawake wa kihutu wanajua kuwa wake wema, wana adabu, wanyeyekevu, wachapa kazi na hicho ndicho mwanaume anatafuta kwa mke
 
Back
Top Bottom