Mliooa au kuolewa na Wanyarwanda tupeni experience

Mliooa au kuolewa na Wanyarwanda tupeni experience

[emoji117]Kwanza lazima uwe na vitanda viwili kimoja cha game kingine cha kulalalia maana wana mwaga maji kama kama mto malagarasi

[emoji117]Pili kwao mwanamke anasikilizwa sana hafokewi wala kupigwa mara nying huwa wanajisahau na kutaka hii tabia ku apply nje ya kwao

[emoji117]Tatu wanaamini katika kukuza kizazi chao pure so hata kama akizaa na mtu sio mnyarwanda lazima atazaa na mnyarwanda mwenzie hata mtoto mmoja

[emoji117] Nne wazuri wanapenda bata na wanatupenda sana wa TZ yaani mtz ukienda Rwanda utongozi mara mbili
Namaba moja nakataa nina experience ya kuwala 3 wawili Kati ya hai no major Ila moja Kati yao alikuwa noma
 
Kwanza lazima uwe na vitanda viwili kimoja cha game kingine cha kulalalia maana wana mwaga maji kama kama mto malagarasi



Hivi hili ni tatizo ama ni hali ya kawaida?
Na huwa inafaida yoyote kwa pande zote mbili me na ke?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ina raha yake hiyo kea style zake[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapo kwenye namba Tatu ni kwamba sio utakupachikia mtoto mmoja kutoka kwenye damu yao. Unaweza kuzaa na mwanamke wa Kinyarwanda(MTUTSI) watoto wa5 lakini siku mkivurugana atakwambia hapo watoto wa5 huna wako hata mmoja.

NIlifanya kazi sehemu mmoja wapo WATUTSI hapa Tanzania. Jamaa mmoja alioa mtutsi na historia ilionyesha jamaaa aliwekewa mizengwe sana asioe huyo mdada kama kumzuia asioe wakampiga mahari ya ng'ombe wengi aina ya nyankole.

Wakaishi miaka ikaenda ikarudi aseee wakazaa watoto.
Wamekuja zinguana na mwanamke, mwanamke karudi kwao kamwachia watoto baadae anampigia simu kamwambia hapo kama unaona kuna mtoto anafanana na wewe ni wako kama hakuna sio wako nakuja kuwachukua.

LETS CUT THE STORY.
Wanawake wa kitutsi wana damu kali aseee ukizaa nae lazima atoe kitu safi kuitizama kwa macho.

Kwenye namba mbili hapo ni kwamba hupenda nao kusikilizwa na kuheshimiwa hulka ambayo ni ya WANAUME sasa nao wanataka kuwa VIDUME ndani ya nyumba. Maamuzi atoe yy. Hela ashike yy. Aamue mgeni gani aje nani asije.

Hapa ndipo sasa hutafunwa na ndugu zake.
Atakuja binamu yake kusalimia kwako eti nimekuja kumsalimia dada. Kwa jinsi wamavyofanana watutsi huwezi kataa kwamba huyu sio kaka yako. Maana sura zao hufanana kama hujakaa nao kuweza kuwafahamu na kuwatofautisha. (KAMA WACHINA)
Wewe umetoka upo kazini, ndani sarakasi zinachezwa. Mtazaa watoto hata 7 huna wako hata mmoja.
Safi sana
 
Kama unawajua wahaya ndo walivyo
Watutsi wanaotokea Rwanda iwe wapo ndani ya Rwanda ama nje wana tabia za ajabu sana, kwahiyo hao wahaya unaosema wanaangukia kundi hili na sio wahaya wote nakataa

Katika vitu sitaki vitokee ni mwanangu kuoa jamii hii,
Heri wanaotokea ukanda wa Burundi na kigoma huko ila sio ukanda huu wa Rwanda, bukoba yote na Uganda wabaya Sana mioyo yao,ni wazuri wa nje ndio ila hawafai kbs kuwa wake za watu
 
Watutsi wanaotokea Rwanda iwe wapo ndani ya Rwanda ama nje wana tabia za ajabu sana, kwahiyo hao wahaya unaosema wanaangukia kundi hili na sio wahaya wote nakataa

Katika vitu sitaki vitokee ni mwanangu kuoa jamii hii,
Heri wanaotokea ukanda wa Burundi na kigoma huko ila sio ukanda huu wa Rwanda, bukoba yote na Uganda wabaya Sana mioyo yao,ni wazuri wa nje ndio ila hawafai kbs kuwa wake za watu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unataka kunywa nini my wangu?
 
Kulingana na story kua nyingi mara hili mara lile kuuhusu ku-date wanyarwanda!

Mara mkizaa watoto unapachikiwa mtoto wa katikati na ndugu yake mkeo! Mara wanakimbia na watoto! Yaan vulu vulu
Wengine wanadai ni waaminifu sanaa n.k Nimeona niombe experience.

Eehh

KAMA UMEOA AU UNADATE MNYARWANDA MAMBO YAKO!

Ukaona mfano ni Ambwene😀😀😀
 
Mkuu hebu nipe taarifa zaidi maana natafute mke pengine nitaenda huko yaani are you joking or what? you mean their you know what when doing you know what releases huge amount of that liquid??? mkuu nielimise pls, natanguliza shukrani
Kwahiyo we unaenda kuoa Rwanda kwa sababu ya mkojozo/maji?
 
Mkuu hebu nipe taarifa zaidi maana natafute mke pengine nitaenda huko yaani are you joking or what? you mean their you know what when doing you know what releases huge amount of that liquid??? mkuu nielimise pls, natanguliza shukrani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yani wewe ungelilia GPA kama unavyolilia Ubatizo anyway ni mungu na watu wake kwakweri
You know I'm joking buddy
 
Yaani nyie viazi akili za kushikiwa hua mnanichekesha sana

Kwanini msioe kwenu?

Wanawake wazuri kabisa,ila hapana,mnaenda kuvamia vitu msivyovijua mnafungua uzi kama conspiracy theorists mna strategize kujipendekeza jinsi mnavyotaka kuoa halafu mnavyolaumu

Watu wanaodharau kwao na kuoa kwa wengine ni inferior sana,mpo humu kujadili your own inferiorities

Waacheni wanawake wa watu walivyo,oa kwenu ukitulize huko!

Hapana mkuu ila kuleta zile sura kwene ukoo wako syo mbaya!!
Ebu imagine unatoa watoto warefu kama twiga!!!
Na sura nzuri!!
Bado watakua wako!! Hawaez kuwa wanyarwanda !!
Hyo n GENETIC THEFT[emoji3][emoji3][emoji28]
 
Back
Top Bottom