Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
- Thread starter
- #121
Ni Malaya sana hawana aibu Kama amekupenda mwanaume anakutongoza sio Kama mademu wa bongo
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hatarii[emoji38]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Malaya sana hawana aibu Kama amekupenda mwanaume anakutongoza sio Kama mademu wa bongo
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Napajua mie? [emoji23][emoji23][emoji23]Ndiyo umfuate sasa
Kwahiyo? [emoji23][emoji23][emoji23]
Tofauti kubwa ipo shingoni,, kiunoni na miguuni, ila lazima uwe mzoefu kugundua.Well said bro. Burundi watutsi pia wapo ila wanatabia nzuri zinazoeleweka kama za wabantu wa bongo. Sifa nzuri za wanawake wa burundi kama za wanawake wa KIHA wa kigoma. Kiasi kwamba kama watutsi wa rwanda unawajua vizuri lazima utaona wapo tofauti na watutsi wa Burundi.
Ni ushauri, kuwa na mnyarwanda kwa kupumzikia tu, au zaa nae uchukue mtoto upite hivi. Hawana sifa za kuolewa, NIAMINI.
Yani hawa watu nimecheza nao tangu nikiwa primary mpaka umri huu, hakuna kitu kabisa.Ni Kama wamasaiView attachment 1843999
Mwamba umetisha una MBA ya oxford hongera sana kaka 😂Mkuu uko na shida kidogo, naaibika nini na kwanini??? kwani hii ni barua ya kuomba ajira niliadika au ni barua ya tender au??? no grammar, no perfection needed here pls, and for your info, i have MBA from oxford pls, stay safe covid is real, be blessed sir
Chadya mahir.. akua hivyo kwa kweli 😉Walaghai. They are too fake trust me. Wap ni kwa wao wenyewe.
[emoji23][emoji23] hawapendeki hawa. Hawapendeki hataaaa.Chadya mahir.. akua hivyo kwa kweli [emoji6]
Aliniacha bila kugombana yoyote ile aisee 😂,nami nikaona poa tu[emoji23][emoji23] hawapendeki hawa. Hawapendeki hataaaa.
🤣Mkuu uko na shida kidogo, naaibika nini na kwanini??? kwani hii ni barua ya kuomba ajira niliadika au ni barua ya tender au??? no grammar, no perfection needed here pls, and for your info, i have MBA from oxford pls, stay safe covid is real, be blessed sir
Wako very romantic, trustworthy, wanajitambua, na they real care. Hizo story za kuzaa na ndugu yake ni uzushi tu na kama zipo basi ni sawa na hapa Tanzania mtu kuzaa na house girl wake ama shemeji yake, hii hapa Bongo ipo sana. Kama umependana na Mnyarwanda na mnaelewana, chukua mazee. Mimi nina wangu mwaka wa 9 sasa, tunaishi kwa raha mustarehe kabisa na watoto wetu 3.Kulingana na story kua nyingi mara hili mara lile kuuhusu ku-date wanyarwanda!
Mara mkizaa watoto unapachikiwa mtoto wa katikati na ndugu yake mkeo! Mara wanakimbia na watoto! Yaan vulu vulu
Wengine wanadai ni waaminifu sanaa n.k Nimeona niombe experience.
Eehh
KAMA UMEOA AU UNADATE MNYARWANDA MAMBO YAKO!
Mshukuru sana Mungu kwa kumpata mnyarwanda aliyekuzidi akili kwa kiwango hicho, hakika utaishi kwa amani milele.Wako very romantic, trustworthy, wanajitambua, na they real care. Hizo story za kuzaa na ndugu yake ni uzushi tu na kama zipo basi ni sawa na hapa Tanzania mtu kuzaa na house girl wake ama shemeji yake, hii hapa Bongo ipo sana. Kama umependana na Mnyarwanda na mnaelewana, chukua mazee. Mimi nina wangu mwaka wa 9 sasa, tunaishi kwa raha mustarehe kabisa na watoto wetu 3.
Mimi ninae kachanganya damu na mchagaMshukuru sana Mungu kwa kumpata mnyarwanda aliyekuzidi akili kwa kiwango hicho, hakika utaishi kwa amani milele.
Hawa watu sio mkuu, ila ukiwa kichwa maji utahisi katika hii dunia wewe pekee unaenjoy mahusiano.Mimi ninae kachanganya damu na mchaga
Duuh niishie hapa tafadhali
Nenda Biharamulo Kagera utawakimbia.Natafuta mnyarwanda mmoja. Nikipata itakuwa poa sana
Hahaha hapo kwa ukiwa kichwa maji utahisi unaenjoyHawa watu sio mkuu, ila ukiwa kichwa maji utahisi katika hii dunia wewe pekee unaenjoy mahusiano.
Nenda Biharamulo Kagera utawakimbia.
so bora kuoa mtusi wa Burundi kuliko Rwanda sio?Kwenye Bata ni kweli, niko huku kaka zao wenyewe wanakwambia kumhandle msichana wa kinywarwanda uwe una pesa hata akupendw vip kama huna pesa mtashea tena hasa kama ww sio mnyarwanda ndo kabisa
na kwa kias flan ukiwa na watoto nae .. jua hata malez yao yatakuwa controles na wakwe zako.. yaan kwa kias flan familia yako itaendeshwa na wakwe zako
labda ukae nae mbal mfano tz lakin ndo yanawwza kutokea yale yaliosemwa ya kukimbiwa na na watoto maana ukikaza sana usifate wanavyotaka wakwe watamwambia arud hom
na hayo ya juu sio kwa wanawake tu hata kwa wanaume.. kuna sista hapa bongo kazaa na mnyarwanda baada ya mtoto kukua akataka kumtorosha kumpeleka rwanda sister kustukia akapeleka mtoto kwao mkoa..
jamaa kuona hivyo akafunguka akasema anatakiwa akaoe kwao so hata angezaa nae watoto wangap lazima watoto warud Rwanda
Warundi ni humble zaidi ya wanyarwanda na wana care sana.. yaan mwanamke wankirundi ukiwa nae anakufanya kama mtoro wake tena yule wa dawa kama vile hata pata mwingine.. wako wanajua sana kusekeza na kujishusha
Hawa binadamu nimecheza nao sanaa mkuu, hakuna mahali atanidanganya.Hahaha hapo kwa ukiwa kichwa maji utahisi unaenjoy
Umesema ukweri sana