Mliooa au kuolewa na Wanyarwanda tupeni experience

Mliooa au kuolewa na Wanyarwanda tupeni experience

kaka swala la kuoa ni kama imani ya dini... ni moyo wako tu... ndo maana hata malaya wa barabaran anaweza akapat mteja na mteja akaamu kuweka ndan kabisa...

Oa kutokana na unapopenda na aina ya mwanamke unaemtaka.. so kwasababu ya tabia zao za akiasili mwisho wa siku hawana tabia yoyote mpya ambayo hatuna hapa tz au haipo dunian... they are simply human beings like the rest of us.. being humans it means they can change or adapt... unaweza ukaoa wa burundi kumbe katika mia moja huyo ndo kazaliwa ana Gubu had shetan hapendi.. ndo utajua hujui[emoji1][emoji1]

tumeumbiwa hawa jaman vitabu vya dini ninasema tuishi nao kwa akili...

Sawasawa mkuu
 
Wao badala badala ya kukeketa wanavuta kisim kinakua kirefu.

giphy.gif
 
Kuna kipindi nilikuwa na mishe kigari alinitongoza demu ambaye sikumzania ila wanakuwaga maaskari anakutunuku mzigo ila anakuchunguza umekuja kufanya nini

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Yes. Kwenye sekta ya ushushushu tu hawajambo. Hata hapa kwetu wengi mashushushu. Anyways, they are working hard for theie country. Sisi timeifanyoa nini nchi yetu.
 
Ni wazuri sana usoni lakini wachafu sana i hate them sishauri mtu akaoe huko wabinafsi sana
Lete Maneno Mkuu
Nipo Hapa Jirani
Vodacom Tanzania welcomes you to Rwanda. You can receive /call/SMS/browse. To Disable roaming, Dial*149*01# Roaming choose Enable or Disable roaming.
 
Mkuu hebu nipe taarifa zaidi maana natafute mke pengine nitaenda huko yaani are you joking or what? you mean their you know what when doing you know what releases huge amount of that liquid??? mkuu nielimise pls, natanguliza shukrani
Nashukuru nmecheka
 
Wale wenyewe kabisa yaaan ambao hawajaathirika na madereva wa michomoko ya Nyaishozi.
Hawa Madereva Wa Omorushaka Washenz* Mno Wanawapiga Mno Barabarani Nako Wanakimbia Hovyo
 
Ila Huku Kyerwa Nawaona Changamoto Ni Mpaka Uwe Na Mwenyeji
 
Back
Top Bottom