Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
- Thread starter
- #161
kaka swala la kuoa ni kama imani ya dini... ni moyo wako tu... ndo maana hata malaya wa barabaran anaweza akapat mteja na mteja akaamu kuweka ndan kabisa...
Oa kutokana na unapopenda na aina ya mwanamke unaemtaka.. so kwasababu ya tabia zao za akiasili mwisho wa siku hawana tabia yoyote mpya ambayo hatuna hapa tz au haipo dunian... they are simply human beings like the rest of us.. being humans it means they can change or adapt... unaweza ukaoa wa burundi kumbe katika mia moja huyo ndo kazaliwa ana Gubu had shetan hapendi.. ndo utajua hujui[emoji1][emoji1]
tumeumbiwa hawa jaman vitabu vya dini ninasema tuishi nao kwa akili...
Sawasawa mkuu