Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Pigia mstariso bora kuoa mtusi wa Burundi kuliko Rwanda sio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pigia mstariso bora kuoa mtusi wa Burundi kuliko Rwanda sio?
Versatile
Miye sisemi bana. Miye ninalo langu nililipenda sana pia. Sijui liko wapi saa hizi linyarwanda langu jamani[emoji23][emoji23] nimelipendaga kindakindaki ila basi tu maybe ndo ka msemavyo mambo ya kwao bwana. HAWAPENDEKIHawa binadamu nimecheza nao sanaa mkuu, hakuna mahali atanidanganya.
BottomVersatile
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Miye sisemi bana. Miye ninalo langu nililipenda sana pia. Sijui liko wapi saa hizi linyarwanda langu jamani[emoji23][emoji23] nimelipendaga kindakindaki ila basi tu maybe ndo ka msemavyo mambo ya kwao bwana. HAWAPENDEKI
Utasemaje ni wako wakati hataki kukufuata? Sio wako huyo.Hawa mabinti wanajua Sana kupenda na kujali. Kasoro niliyoiona kwa wa kwangu; hasira na maamuz magumu, pia wanawakubali Sana wanyarwanda wenzao(kiume). Wangu nilimfuma na huyo aliyeniambia ndugu yake analiwa denda.
Nilimfurahisha mbona.....hadi leo hataki kuja Tz tena
Kuna kipindi nilikuwa na mishe kigari alinitongoza demu ambaye sikumzania ila wanakuwaga maaskari anakutunuku mzigo ila anakuchunguza umekuja kufanya niniHatarii[emoji38]
Ila bana watutsi wa Rwanda wazuri sanaTofauti kubwa ipo shingoni,, kiunoni na miguuni, ila lazima uwe mzoefu kugundua.
Ila mpaka akukubalie mpaka uwe na ka uwezo kiasiso bora kuoa mtusi wa Burundi kuliko Rwanda sio?
Stereotypes tu hizi kaka. Mtu muhuni ni muhinu. Kwani Tanzania hakuna wanaolea watoto wasio wao? Kama ni cheating baadhi ya wanawake wa Tanzania wanafanya pia.Kulingana na story kua nyingi mara hili mara lile kuuhusu ku-date wanyarwanda!
Mara mkizaa watoto unapachikiwa mtoto wa katikati na ndugu yake mkeo! Mara wanakimbia na watoto! Yaan vulu vulu
Wengine wanadai ni waaminifu sanaa n.k Nimeona niombe experience.
Eehh
KAMA UMEOA AU UNADATE MNYARWANDA MAMBO YAKO!
Zaidi ya sana mkuu, miaka ya giza tulikuwa tunawafuata vijijini huko unamleta town unamtia ndani wiki bila kutoka, anakula vizuri, unampiga soap ya maana, akitoka unampeleka salon analembwa vizuri, unampiga pamba, ukitoka nae lazima watu wote macho yawe kwenu.
ulimfurahisha kiaje? fafanua tafadhali.Hawa mabinti wanajua Sana kupenda na kujali. Kasoro niliyoiona kwa wa kwangu; hasira na maamuz magumu, pia wanawakubali Sana wanyarwanda wenzao(kiume). Wangu nilimfuma na huyo aliyeniambia ndugu yake analiwa denda.
Nilimfurahisha mbona.....hadi leo hataki kuja Tz tena
[emoji23][emoji23][emoji23]ma.mae walahi...eti shaaaaah shaaaaaah.Wapi interahamwe?
Mapanga shaaaaaaah shaaaaah.
Yupi Mnyarwanda kati ya hawa?Kulingana na story kua nyingi mara hili mara lile kuuhusu ku-date wanyarwanda!
Mara mkizaa watoto unapachikiwa mtoto wa katikati na ndugu yake mkeo! Mara wanakimbia na watoto! Yaan vulu vulu
Wengine wanadai ni waaminifu sanaa n.k Nimeona niombe experience.
Eehh
KAMA UMEOA AU UNADATE MNYARWANDA MAMBO YAKO!
Ni simu mpya sio yeye [emoji12][emoji12]@Tajiri tumbo kubwa Kulikua na haja ya kutumia kingereza!!??
Ona sasa[emoji23][emoji23][emoji23]unavoaibika
so bora kuoa mtusi wa Burundi kuliko Rwanda sio?