Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,074
Kwenye ndoa kinachotakiwa ni nguvu za kiume tu hayo mengine utayakuta huko hukoBaada ya makato na kubakia 300,000 una mke na watoto, unawezaje kumudu familia kwa huo mshahara?
Tupeane uzoefu.