Ramadhani921999
Member
- Sep 15, 2015
- 56
- 37
Bado watu wanaitwa usaili wakuu sisi wale wa 55 tumo kwa PDF pao kuitwa kweli maana mwezi unaisha huu Central zoneWhy Umeuliz ndugu
Nimeshaapa maishani mwangu sitokaa nikafanya kazi bank tenaDuh why aise ilikuwa chance yako
Umeniambia nitoe sababu, mara hii tena umesha conclude kuwa nna maisha mazuri kwetu.Inaonesha unamaisha mazuri kwenu kjna
Washakuita kazn nn mkuuWadau niaje, naomba kufahamishwa kujua Deni lolote kama unadaiwa Kupitia Namba ya NIDA
Hii ya leo tar 27 April, tupeane matokeo
Jaman kuna any updates mlioitwa kufanya interviews au kupigiwa simu?
Ndio mkuu...Ulifanya mtihani mkuu?