Mliopo Dar es Salaam kuna kitu kinapita maeneo yenu angani

NI Satelite zinazoitwa star link za yule kijana wa South Africa( Elon) anayewekewa kauzibe na Nape Mnauye asirushe internet hadi kule kwa Mandonga kisa tu hajajenga ofisi yake hapo Tanzagiza.
 
Isije kuwa Tumevamiwa na Intarahamwe.......wanasema they have no Means but Ways
 
Hizo ni constellation satellite za starlink Internet mkuuu
 
Hicho kilichoonekana kinajulikana kama kimondo kwa kiswahili. Ni kipande cha sayari kati ya sayari zilizopo kwenye mzunguko wa ki sola na hutokea mara nyingi kuingia katika anga ya Dunia na kutokana na mwendo kasi wake na msuguano wa hewa huungua/kushika moto na kuteketea bila ya madhara kwa dunia. Ila imeshatokea si mara nyingi vipande kidogo kufika duniani. Nafikiri ni Mbeya kuna kitu kama hicho, na pia imeshatokea Urusi kwa miaka ya karibuni ya 2013.


View: https://youtu.be/dpmXyJrs7iU?si=n5gfri_uF3rcff68
 
Hiyo ni satellite ya kampuni ya space X chini ya Elon musk
 
Asante kwa maelezo mazuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…