Mliopo Dar es Salaam kuna kitu kinapita maeneo yenu angani

Mliopo Dar es Salaam kuna kitu kinapita maeneo yenu angani

Wadau nani kaona kitu usiku huu kinapita juu kama ndege, kinaonekana kama nyota zilizopangana kama 20 hivi zimekaa kwa mstari ulionyooka zinatembea kwa kunyooka hakitoi sauti.

Hapa tulioona wote hatujajua nini maana kilamtu hajawai kuona kama ndege hakuna ndege yenye urefu ule na ingekuwa ndege Ingleton sauti, pia mwanga wake si wa ndege ni inaangaza kama nyota (Terestrial things), kama Satellite hakuna satellite yenye ukubwa ule, au labda nyota fulani na au ni masuala UFO

Nimeshindwa kupiga picha camera yangu haina ubora kabisa.

Aloyekiona na wenye uwelewa zaidi waje hapa.
Hizo ni satelite za starlink

Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
 
Hata mimi nimeshuhudia hilo nikiwa mitaa ya kinyerezi tukajiuliza ni kitu gani
 
Screenshot_20240226-224917~2.png
 
Ni satelaiti za kampuni ya internet ya starkink inayomilikiwa na Elon Musk.

Internet hii inapatikana hata uwe bondeni, milimani, porini, kijijini, n.k. Internet haina kikomo utatumia unavyotaka (Unlimited)

Elon Musk aliwahi kuja Tanzania kuomba vibali ili alete ofisi zake watanzania tunufaike na hii huduma lakini waziri wetu wa teknolokia Nnape Nnauye alituangusha

Internet hii imesambaa nchi nyingi, Nchi jirani zinazofaidi huduma hii ni Kenya, Rwanda, Malawi, Zambia na Msumbiji. Sisi tutabaki kushangaa na kukodolea macho hizo satelaiti.

Kuna takribani satelaiti elf 5 za starlink zinazunguka juu ya anga hapa duniani, hakuna haja ya mnara ukiwa na starlink, popote duniani utapata intenet, wenzetu wanafaidi teknolojia za kisasa.

View attachment 2917419

View attachment 2917420
lazima wakatae, watapataje 10% zao za makampun ya huku kwetu ,, na elon hana kona kona
 
Itakuwa satelaiti....

Kuna wakati ISS huwa inaonekana kama nyota inayotembea kwa kasi angani haswa ukiwa upande wa kaskazini au kusini mwa dunia...
Unahakikisha vipi kuwa ISS na si nyota tu fulani
 
Nimeona Bhasi?
Taarifa tu wengi walinicheck wakisema eti mwisho wa Dunia..
Kuna wa Mkuranga,yupo aliyekuwa Arusha na yupo aliyekuwa Dodoma, Na mwingine Morogoro
Mbona inaleta picha vile, sisi huku tumeamua kulala nje ili likirudi tulione lisije likatuzikia ndani kana Gaza.
 
ni hizi ushamba mzigo
 

Attachments

  • az_recorder_20240226_232406.mp4
    2.4 MB
ISS inaonekana kutokea duniani kwa macho?
Mara kadhaa naiona ISS hasa kwenye jua kali. Inabidi ule timing kubwa na ubahatike kuiona, sababu haionekani usiku kwa vile haina taa za mwanga mkali. Jua likiipiga ukawa kwenye position ya kuona reflection ndio unaiona.
Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikiiona sikumbuki mara ngapi ila.
 
Mara kadhaa naiona ISS hasa kwenye jua kali. Inabidi ule timing kubwa na ubahatike kuiona, sababu haionekani usiku kwa vile haina taa za mwanga mkali. Jua likiipiga ukawa kwenye position ya kuona reflection ndio unaiona.
Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikiiona sikumbuki mara ngapi ila.
Inaonekanaje na mimi niion, unaona kabisa shape yake au.

Pia ukisema hainekani usiku haina taa kwani satellite za kawaida zina taa kama hizi za lwo??
 
Back
Top Bottom