Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
daah! asante ndugu yangu kwa maelekezo, ila mpaka kupiga hatua za maendeleo inabidi kizazi fulani kipite kwanza.Nahisi kulikuwa kuna sababu za kitoto kwamba mitandao ya simu iliogopa itapoteza wateja kwenye huduma za internet, pia internet hii ni unlimited unatumia utakavyo sio ya kupimiwa GB....
hivi hamna jinsi ya kupata intanet yao nje ya mfumo?