Mliopo Dar es Salaam kuna kitu kinapita maeneo yenu angani

Mliopo Dar es Salaam kuna kitu kinapita maeneo yenu angani

Nahisi kulikuwa kuna sababu za kitoto kwamba mitandao ya simu iliogopa itapoteza wateja kwenye huduma za internet, pia internet hii ni unlimited unatumia utakavyo sio ya kupimiwa GB....
daah! asante ndugu yangu kwa maelekezo, ila mpaka kupiga hatua za maendeleo inabidi kizazi fulani kipite kwanza.

hivi hamna jinsi ya kupata intanet yao nje ya mfumo?
 
Fun fact starlink iko Kenya na Rwanda ambako Starlink hawana ofisi.

Mozambique na Malawi pia wanafaidi...

Sisi hawa jamaa wenye mamlaka wazee wa 10% watakuwa wanataka wakatiwe chao ili watoe ruksa...
 
Mimi nipo kimara hapa pia nimeshuhudia hayo maajabu halafu huo mstari umepotea angani kimiujiza kama kimondo
 
Ni satelaiti za kampuni ya internet ya starkink inayomilikiwa na Elon Musk.

Internet hii inapatikana hata uwe bondeni, milimani, porini, kijijini, n.k. Internet haina kikomo utatumia unavyotaka (Unlimited)

Elon Musk aliwahi kuja Tanzania kuomba vibali ili alete ofisi zake watanzania tunufaike na hii huduma lakini waziri wetu wa teknolokia Nnape Nnauye alituangusha

Internet hii imesambaa nchi nyingi, Nchi jirani zinazofaidi huduma hii ni Kenya, Rwanda, Malawi, Zambia na Msumbiji. Sisi tutabaki kushangaa na kukodolea macho hizo satelaiti.

Kuna takribani satelaiti elf 5 za starlink zinazunguka juu ya anga hapa duniani, hakuna haja ya mnara ukiwa na starlink, popote duniani utapata intenet, wenzetu wanafaidi teknolojia za kisasa.

View attachment 2917393


View attachment 2917417
Waziri ali-amplify hofu ya TISS kuwa endapo wananchi watakuwa na uhakika wa mawasiliano tena kwa gharama nafuu itapelekea kukatwa mirija ya mabosi wao wanaowalinda kwa viapo vya damu.


Seriously, hii nchi inahitaji brain bastards wenye uthubutu chanya na ubunifu wenye minofu
 
Ni kama nyota zinazoongozana kwa mstari mnyoofu, zikiachana kwa nafasi ndogo, zinaonekana zikiwa mbili mbili zilizokaribiana zinaacha nafasi kidogo kisha zinafuata nyingine mbili na kuendelea,tazama picha chini,sijawahi kuona kitu cha namna hii maishani.View attachment 2917366
Yawezekanani Elon Musk na ma-satelite yake.
 
Kuna kitu sijui naweza kusema ni nini, maana si ndege kwa muonekano wa taa ulivyokuwa mrefu, ila nimeshindwa kuelewa kwa sababu ya giza.

Kimetokea uelekeo wa Bagamoyo kwenda kigamboni, mliopo huko hadi mbagara mnaweza kutujuza au anayeweza kuelewa ni kitu cha aina gani.


Kwenye komenti No. #7 kuna picha mdau wa Arusha Capt Tamar aliwahi kupiga picha, vinatembea kwa mstari kama wale ndege weupe wanaoluka pamoja kwa mstari wakihama wanaopatikana dead lake njia ya Loliondo.

Nawasilisha.
Huyo ni Elon Musk anapitisha satelaite zake za StarLink.
 
Acha kuandika ujinga hapa. Wewe ndiye mwenye taarifa halafu unataka sisi tukujuze.

Pumbavu sana
Mbn unapanik mkuu amnga lina mambo mengi amayo sio kila mtu anaelewa, alichokiona ni satellite za starlink ila yeye hakujua
 
Kuna kitu sijui naweza kusema ni nini, maana si ndege kwa muonekano wa taa ulivyokuwa mrefu, ila nimeshindwa kuelewa kwa sababu ya giza.

Kimetokea uelekeo wa Bagamoyo kwenda kigamboni, mliopo huko hadi mbagara mnaweza kutujuza au anayeweza kuelewa ni kitu cha aina gani.


Kwenye komenti No. #7 kuna picha mdau wa Arusha Capt Tamar aliwahi kupiga picha, vinatembea kwa mstari kama wale ndege weupe wanaoluka pamoja kwa mstari wakihama wanaopatikana dead lake njia ya Loliondo.

Nawasilisha.
Anga liko salama shaka ondoa! Otherwise Jeshi shupavu la wananchi wangesha kisambaratishia mbali huko.
 
Haya

waswahili tuendelee na uchawa na kukata viuno

  • wajuvi hizo starlink zina mission gani?
  • wanataka kuvumbua nn?

- zinakuwa uko juu kwa muda gani?

na kama zinapita tu ovyoovyo uko angani usalama wetu ukoje?
 
Back
Top Bottom