David Goliath
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 949
- 1,878
UFO wametufikia hatimae juhudi za mama na serikali ya awamu ya sita kupitia royal Tour Zinazidi kuzaa matunda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tafuta hela hapa huna simuHIvyo hapo, hata Mimi niliviona
How far are you sure kuwa ni satellite ya Star Link?Ni satelite ya Starlink. Iko juu sana ndiyo maana inaonekana kila sehemu
Saa moja na robo usiku huu huku Mbagala kimeonekana kitu kirefu kikiwaka taa kama urefu wa mabehewa ya treni, tukio hilo limekwenda kwe dakika tano hivi kisha kikapotea, wenye taarifa watujuze.
Nahisi kulikuwa kuna sababu za kitoto kwamba mitandao ya simu iliogopa itapoteza wateja kwenye huduma za internet, pia internet hii ni unlimited unatumia utakavyo sio ya kupimiwa GB....daaah elfu tano!
sasa huku kwetu wameona tutapungukiwa nini wakipewa starlink ku provide internet
Wabongo bhana.....Yes, captain hivi vitu vimepita Bagamoyo uelekeo kwenda Kigamboni tumeshangazwa sababu hakuna muungurumo.
Wizara inayohusika na anga hebu tupeni taarifa usije kuta tumemwagiwa dawa wanaume wote hakuna kuzalisha mbegu 😃, japo watu wanashinda gym na kufanya mazoezi ya kegel 😁!.
Nawe uliwahi tumia na kukutana na tukio ndugu🤓Madhara ya kutumia yale majani pendwa haya
Mkuu hii siyo habari mpya. Kulingana na maelezo waliyotoa na picha ambayo mmoja wa members amepiga nina uhakika ndiyo yenye. Mpaka website ya ku-track itakuwa wapi na kwa muda gani ipo.How far are you sure kuwa ni satellite ya Star Link?
Saa moja na robo usiku huu huku Mbagala kimeonekana kitu kirefu kikiwaka taa kama urefu wa mabehewa ya treni, tukio hilo limekwenda kwe dakika tano hivi kisha kikapotea, wenye taarifa watujuze.
Dah!... hatari sana hawa mabeberu
Sio mmea kabisa huo mkuu.Madhara ya kutumia yale majani pendwa haya
Yani dk 5 ukashindwa kupata picha?Saa moja na robo usiku huu huku Mbagala kimeonekana kitu kirefu kikiwaka taa kama urefu wa mabehewa ya treni, tukio hilo limekwenda kwe dakika tano hivi kisha kikapotea, wenye taarifa watujuze.
Kama ni hizi, hii ni mitambo ya bwana mkubwa Elon muskNipo Arusha,nimeviona muda huu,nikafungua uzi kama huu,picha hii hapaView attachment 2917371