Mliopo Dar es Salaam kuna kitu kinapita maeneo yenu angani

Mliopo Dar es Salaam kuna kitu kinapita maeneo yenu angani

Nipo Arusha,nimeviona muda huu,nikafungua uzi kama huu,picha hii hapaView attachment 2917371
Yes, captain hivi vitu vimepita Bagamoyo uelekeo kwenda Kigamboni tumeshangazwa sababu hakuna muungurumo.

Wizara inayohusika na anga hebu tupeni taarifa usije kuta tumemwagiwa dawa wanaume wote hakuna kuzalisha mbegu 😃, japo watu wanashinda gym na kufanya mazoezi ya kegel 😁!.
 
kwa hio zinakuwa zinazunguka around the world ama zinakuwa specific kwa nchi ama ukanda zinakotoa huduma?
zinazunguka dunia nzima, zipo satalaiti elf 5 za starlink,

1708966364958.png
 
Back
Top Bottom