Mliopo Dar es Salaam kuna kitu kinapita maeneo yenu angani

Mliopo Dar es Salaam kuna kitu kinapita maeneo yenu angani

Screenshot_2024-02-26-19-54-10-1.png
 
Ni satelaiti za internet ya starkink inayomilikiwa na Elon Musk.

Internet hii inapatikana hata uwe bondeni, milimani, porini, kijijini, n.k.

Elon Musk alikujaha Tanzania kutaka apewe vibali ili alete ofisi zake lakini waziri wetu wa teknolokia Nnape Nnauye akazingua, kwa sasa nchi jirani zinazofaidi huduma hii ni Kenya, Rwanda, Malawi, Zambia na Msumbiji.

View attachment 2917377


Kuna takribani satelaiti elf 5 za starlink zinatembea juu ya anga hapa duniani

View attachment 2917393
Daaah...! Hili linchi lina watu wa ajabu. Sijui kutokuelewa?. Halafu wenyewe wanajiona ndio wanajua zaidi. Ona sasa wengine wote wanaotuzunguka tayari wako kwenye dunia hiyo. Bado miaka 10 tutakuwa nchi ya mwisho kwa kila kitu kwa hawa viongozi.
 
 
Mimi pia nikiwa safarini mkoani Kilimanjaro, mida ya saa moja na dakika 20s usiku nimeona kitu hicho hicho, hivyo hivyo angani.
Ni kitu halisi kabisa.

Mwanzoni nilihisi ni ndege lakini akili ikakataa, nikahisi ni rocket lakini bado akili ikakataa, sio cha kawaida.
 
Hiyo ni satelite ya Starlink, mali ya bilionea Elon Musk.

View attachment 2917389
View attachment 2917390
View attachment 2917391

Fun fact:
StarLink wanawezesha upatikanaji wa intaneti yenye kasi kwa bei nafuu.

Elon Musk alipoulizwa kama ana mpango wa kupeleka StarLink Tanzania, akajibu kwamba ameshapeleka proposal kwa serikali ya Tanzania na waanangojea majibu.

Yule anayepaswa kutoa majibu akatoa majibu mepesi kwamba hadi Musk ajenge ofisi hapa bongo!!

Intaneti ya Musk ingekuwa ukombozi mkubwa kwa huu utumwa wa intaneti unaoendelea.

Fun fact starlink iko Kenya na Rwanda ambako Starlink hawana ofisi.

Takataka.

IMG_9513.jpg
 
Ni kama nyota zinazoongozana kwa mstari mnyoofu, zikiachana kwa nafasi ndogo, zinaonekana zikiwa mbili mbili zilizokaribiana zinaacha nafasi kidogo kisha zinafuata nyingine mbili na kuendelea,tazama picha chini,sijawahi kuona kitu cha namna hii maishani.View attachment 2917366
No Star link kumbe, nimeangalia location yake ikaniletea na muda ambao inapita.
 

Attachments

  • IMG_20240226_195853.jpg
    IMG_20240226_195853.jpg
    120.8 KB · Views: 5
Kuna kitu sijui naweza kusema ni nini, maana si ndege kwa muonekano wa taa ulivyokuwa mrefu, ila nimeshindwa kuelewa kwa sababu ya giza.

Kimetokea uelekeo wa Bagamoyo kwenda kigamboni, mliopo huko hadi mbagara mnaweza kutujuza au anayeweza kuelewa ni kitu cha aina gani.


Kwenye komenti No. #7 kuna picha mdau wa Arusha Capt Tamar aliwahi kupiga picha, vinatembea kwa mstari kama wale ndege weupe wanaoluka pamoja kwa mstari wakihama wanaopatikana dead lake njia ya Loliondo.

Nawasilisha.
Soma hii link. Ni satelite. Unaweza kupiga mahesabu inavyosafiri, na kujua itakuwa sehemu gani na muda gani.
 
Yes, captain hivi vitu vimepita Bagamoyo uelekeo kwenda Kigamboni tumeshangazwa sababu hakuna muungurumo.

Wizara inayohusika na anga hebu tupeni taarifa usije kuta tumemwagiwa dawa wanaume wote hakuna kuzalisha mbegu [emoji2], japo watu wanashinda gym na kufanya mazoezi ya kegel [emoji16]!.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom