Mliopo Dar es Salaam kuna kitu kinapita maeneo yenu angani

Mliopo Dar es Salaam kuna kitu kinapita maeneo yenu angani

Ni satellite za starlink zimerushwa wiki iliyopita
1000030818-01.jpeg
 
zinazunguka dunia nzima, zipo satalaiti elf 5 za starlink,

View attachment 2917395
kwa ratio ya ukubwa wa dunia na satelite hivyo vikolokolo haviziwez kuonekana au kwa uwiano huo wa picha dunia ya ukubwa huo na satelite za ukubwa huo bas amin kwamba satelite zako zingekua na ukwa wa mamia ya kilometer za mraba
 
Ni satelaiti za kampuni ya internet ya starkink inayomilikiwa na Elon Musk.

Internet hii inapatikana hata uwe bondeni, milimani, porini, kijijini, n.k. Internet haina kikomo utatumia unavyotaka (Unlimited)

Elon Musk aliwahi kuja Tanzania kuomba vibali ili alete ofisi zake watanzania tunufaike na hii huduma lakini waziri wetu wa teknolokia Nnape Nnauye alituangusha

Internet hii imesambaa nchi nyingi, Nchi jirani zinazofaidi huduma hii ni Kenya, Rwanda, Malawi, Zambia na Msumbiji. Sisi tutabaki kushangaa na kukodolea macho hizo satelaiti.

Kuna takribani satelaiti elf 5 za starlink zinazunguka juu ya anga hapa duniani, hakuna haja ya mnara ukiwa na starlink, popote duniani utapata intenet, wenzetu wanafaidi teknolojia za kisasa.

1708968437295.png


1708968449672.png
 
Fun fact:
StarLink wanawezesha upatikanaji wa intaneti yenye kasi kwa bei nafuu.

Elon Musk alipoulizwa kama ana mpango wa kupeleka StarLink Tanzania, akajibu kwamba ameshapeleka proposal kwa serikali ya Tanzania na waanangojea majibu.

Yule anayepaswa kutoa majibu akatoa majibu mepesi kwamba hadi Musk ajenge ofisi hapa bongo!!

Intaneti ya Musk ingekuwa ukombozi mkubwa kwa huu utumwa wa intaneti unaoendelea.

Fun fact starlink iko Kenya na Rwanda ambako Starlink hawana ofisi.

Takataka.

View attachment 2917403
Kazi millet boy anaupiga mwingi
 
Mbagala leo bongo fm imezindiliwa huenda wamerusha fataki usiku huu !
 
Back
Top Bottom