Kijana LOGICS
Senior Member
- Dec 16, 2023
- 140
- 536
Iyo ni rocket Ina double kebin inatoka usawa bahari kuelekea mars
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
In 5mins simu ilikuwa kwenye charger ndani, ingia na kutoka kilikuwa uelekeo wa mbali, zoom ya simu ikachemsha.Umeshindwa hata kupiga picha?
bora wewe umeleta picha, wenye dunia na anga lao wanapitaNi kama nyota zinazoongozana kwa mstari mnyoofu, zikiachana kwa nafasi ndogo, zinaonekana zikiwa mbili mbili zilizokaribiana zinaacha nafasi kidogo kisha zinafuata nyingine mbili na kuendelea,tazama picha chini,sijawahi kuona kitu cha namna hii maishani.View attachment 2917366
Nipo arusha mkuu,nimeona pia watu kadhaa wa Dar nao wameona,kwa hapa arusha naziona zikitokea kaskazini kuelekea kusini.Upo mkoa gani!?
Nipo Msongola jimbo la Ukonga Daressalaam sioni unachoona angani!!
kwa hio zinakuwa zinazunguka around the world ama zinakuwa specific kwa nchi ama ukanda zinakotoa huduma?Ni satelaiti za internet ya starkink inayomilikiwa na Elon Musk.
Internet hii inapatikana hata uwe bondeni, milimani, porini, kijijini, n.k.
Elon Musk alikujaha Tanzania kutaka apewe vibali ili alete ofisi zake lakini waziri wetu wa teknolokia Nnape Nnauye akazingua, kwa sasa nchi jirani zinazofaidi huduma hii ni Kenya, Rwanda, Malawi, Zambia.
View attachment 2917377
Nimehesabu nyota zipo 25Wadau nani kaona kitu usiku huu kinapita juu kama ndege, kinaonekana kama nyota zilizopangana kama 20 hivi zimekaa kwa mstari ulionyooka zinatembea kwa kunyooka hakitoi sauti.
...