Mliopo Dar, hali ya kibiashara ikoje sasa?

Mliopo Dar, hali ya kibiashara ikoje sasa?

Hivi kubeba watu kwenye Baiskeli inaweza kuwa Hustle inayolipa kipindi hiki Kariako-Azizially.


🤣🤣🤣sema wewe october man umekariri sana Dar sijui y! Wenzako wanakuja dar kutekeza milions😎!sina hakika km spirit unayoandika ndo uliyonayo!....!
 
Biashara ya Uber na Taxify nayo imekua ngumu balaa japo tulitegemea vice versa.. Hesabu imekua ngumu .. madereva wanarudisha magari


Sent using Jamii Forums mobile app


Duh..juzi nilichukua uber nikaanza ongea na driver...bwana yule dogo anamake balaa! Alinionesha route za kutoka sa2 had saa6 amekusanya 83!...!nikaomba urafiki naye
 
Asante Mkuu ila la miezi 8 punguza kidogo
Kufa ni wajib ila pia cha moto kinakuja
Niko ndani week tu utafikiri mwezi mpaka siku nimezisahau
Ila kuna ajabu sana naiona huku wale walikuwa wanacheza kamari kwisha habari yao
Wauza pombe wote wamefunga biashara na kuna watu nawajua wanakunywa wanasema hawanywi tena na hela wana save kwa chakula [emoji23]
Kweli watu wengi wameeanza kuijua thamani ya hela na hali ikiendelea hivi hata thamani yake hatutaiona kabisa maana una chakula kimejaa nyumbani
Gari halili mafuta tena na mwisho hela unaiona kama karatasi tu hainunui hata toilet paper

Mkuu futa kauli ya miezi 8 tutawehuka humu
Acha nikaruke ruke garden


Sent from my iPhone using Tapatalk
Wazee wetu walifunga mikanda miezi 18 umesahau au ujaambiwa msoto wake!chamoto tutakiona ila waache ujuaji safari hii wamejiripua wenyewe nyambffff
 
Back
Top Bottom