luqman luqman
JF-Expert Member
- Jun 14, 2014
- 846
- 1,394
Mh kweli hapo huna namna Mkuu,.Wa kusua sua sana, toka kufuga 150k-200k mpaka 15,000-20,000!
Operational costs zina overlap faida! Nishaanza kujikaanga kwa mafuta yangu.
Hee Bar 15000/= HaaWa kusua sua sana, toka kufuga 150k-200k mpaka 15,000-20,000!
Operational costs zina overlap faida! Nishaanza kujikaanga kwa mafuta yangu.
duh vipi kuhusu bike na bajaji?Biashara ya Uber na Taxify nayo imekua ngumu balaa japo tulitegemea vice versa.. Hesabu imekua ngumu .. madereva wanarudisha magari
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kubeba watu kwenye Baiskeli inaweza kuwa Hustle inayolipa kipindi hiki Kariako-Azizially.
Biashara ya Uber na Taxify nayo imekua ngumu balaa japo tulitegemea vice versa.. Hesabu imekua ngumu .. madereva wanarudisha magari
Sent using Jamii Forums mobile app
In progress to move kibaha.🤣🤣🤣sema wewe october man umekariri sana Dar sijui y! Wenzako wanakuja dar kutekeza milions😎!sina hakika km spirit unayoandika ndo uliyonayo!....!
In progress to move kibaha.
[/QUOTE
Acha kudeka ww mtoto wa kiume!....nini kibaha!jichomeke mainterior huko..kaa mwaka uje useme hapa!
Am choppn my money yow!
Duuuh...Bora ufunge kwa mudaWa kusua sua sana, toka kufuga 150k-200k mpaka 15,000-20,000!
Operational costs zina overlap faida! Nishaanza kujikaanga kwa mafuta yangu.
Mkuu biashara ya bar nina rafiki zangu wawili watatu wameifanya na wengine bado wanaifanya. Niseme tu ni biashara ambayo ikiamua kukataa inakataa kweli kweli. Bar nyingi ziakuwa kama ni fashion. Wateja wanaweza kuwa wengi sana wakati kiwa mpya lakini ikiisha miaka miwili ukakosa hata mmoja.us
icheke mkuu
Wazee wetu walifunga mikanda miezi 18 umesahau au ujaambiwa msoto wake!chamoto tutakiona ila waache ujuaji safari hii wamejiripua wenyewe nyambffffAsante Mkuu ila la miezi 8 punguza kidogo
Kufa ni wajib ila pia cha moto kinakuja
Niko ndani week tu utafikiri mwezi mpaka siku nimezisahau
Ila kuna ajabu sana naiona huku wale walikuwa wanacheza kamari kwisha habari yao
Wauza pombe wote wamefunga biashara na kuna watu nawajua wanakunywa wanasema hawanywi tena na hela wana save kwa chakula [emoji23]
Kweli watu wengi wameeanza kuijua thamani ya hela na hali ikiendelea hivi hata thamani yake hatutaiona kabisa maana una chakula kimejaa nyumbani
Gari halili mafuta tena na mwisho hela unaiona kama karatasi tu hainunui hata toilet paper
Mkuu futa kauli ya miezi 8 tutawehuka humu
Acha nikaruke ruke garden
Sent from my iPhone using Tapatalk
Kweli mie sitakagi ujinga niko zangu meru nalima majani kwa sasa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]are u serious?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inalipa mkuu ..ingia mzigoniHivi kubeba watu kwenye Baiskeli inaweza kuwa Hustle inayolipa kipindi hiki Kariako-Azizially.
Kwani mi nikoje mkuu?