Mliopona maumivu ya mgongo, kiuno, na viungo mlitumia dawa gani?

Mliopona maumivu ya mgongo, kiuno, na viungo mlitumia dawa gani?

Nicheki nimsaidie chap
IMG20210922144242.jpg
 
KWANZA KABISA NAOMBA MODS MSIUHAMISHE HUU UZI UBAKIE HAPA HAPA KWENYE JUKWAA LA HABARI NA HOJA MCHANGANYIKO

Mliopona maumivu ya mgongo, kiuno, na viungo mlitumia dawa gani?

Ndugu zangu mliowahi kuumwa maumivu ya kiuno au mgongo au viungo vingine mlitumia dawa gani?

Mfano matatizo kama "neuropathic pain, nerve pain, joint pain or Arthritis mliponaje?

Nauliza nipate ushuhuda maana nasumbuliwa na maumivu ya kiuno nilishaenda hosp nikapimwa magonjwa yote Xray ikaonyesha nina shida kwenye mifupa nikapewa dawa aina ya "Pregabalin na meloxican" ndo naendelea kumeza lakini nahisi itachukua muda sana kupona

Ndugu zangu mlopitia hili mlitumia dawa gani au tiba gani?Maana sahv watu wengi tu wanateseka na hili tatzo
Mm nilipata hilo tatizo kwa muda mrefu sana hadi nikakata tamaa,nikajiongeza kwa kubadili lifestyle hadi sasa limekwisha kabisa.Nimenunua baiskeli kwa ajili ya mazoezi,napumzika muda wa kutosha lkn nimeachana na vyakula vya sukari na wanga napiga matunda na maji ya kutosha
 
Acheni kulala magodoro Sio sifa lalieni vislesi vya godoro,mbao au mpira
 
Kwa waliofanya kazi za kukesha miaka mfano madereva walinzi madaktari ni watumie dawa gani ili kurejesha mwili urudi sawa kwenye mpangilio wake maana tatizo kubwa ni ukosefu wa usingizi baada ya kuacha kazi hizo
 
KWANZA KABISA NAOMBA MODS MSIUHAMISHE HUU UZI UBAKIE HAPA HAPA KWENYE JUKWAA LA HABARI NA HOJA MCHANGANYIKO

Mliopona maumivu ya mgongo, kiuno, na viungo mlitumia dawa gani?

Ndugu zangu mliowahi kuumwa maumivu ya kiuno au mgongo au viungo vingine mlitumia dawa gani?

Mfano matatizo kama "neuropathic pain, nerve pain, joint pain or Arthritis mliponaje?

Nauliza nipate ushuhuda maana nasumbuliwa na maumivu ya kiuno nilishaenda hosp nikapimwa magonjwa yote Xray ikaonyesha nina shida kwenye mifupa nikapewa dawa aina ya "Pregabalin na meloxican" ndo naendelea kumeza lakini nahisi itachukua muda sana kupona

Ndugu zangu mlopitia hili mlitumia dawa gani au tiba gani?Maana sahv watu wengi tu wanateseka na hili tatzo

Nenda muhimbili pale MoI wameleta treatment kwa ajili yenu kwa gharama ndogo tu ya million moja wahi nafasi ni chache
 
KWANZA KABISA NAOMBA MODS MSIUHAMISHE HUU UZI UBAKIE HAPA HAPA KWENYE JUKWAA LA HABARI NA HOJA MCHANGANYIKO

Mliopona maumivu ya mgongo, kiuno, na viungo mlitumia dawa gani?

Ndugu zangu mliowahi kuumwa maumivu ya kiuno au mgongo au viungo vingine mlitumia dawa gani?

Mfano matatizo kama "neuropathic pain, nerve pain, joint pain or Arthritis mliponaje?

Nauliza nipate ushuhuda maana nasumbuliwa na maumivu ya kiuno nilishaenda hosp nikapimwa magonjwa yote Xray ikaonyesha nina shida kwenye mifupa nikapewa dawa aina ya "Pregabalin na meloxican" ndo naendelea kumeza lakini nahisi itachukua muda sana kupona

Ndugu zangu mlopitia hili mlitumia dawa gani au tiba gani?Maana sahv watu wengi tu wanateseka na hili tatzo
Nakutumia na bei yake kabisa ili ujipime usimtafute daktari kama huna hio hela. Pia kuna sawa nyingine za ku spray na kupaka haziko hapo
IMG-20230708-WA0005.jpg
 
Fanya mazoezi kula vizur upumzishe mwili wako maumivu yote kwisha
 
KWANZA KABISA NAOMBA MODS MSIUHAMISHE HUU UZI UBAKIE HAPA HAPA KWENYE JUKWAA LA HABARI NA HOJA MCHANGANYIKO

Mliopona maumivu ya mgongo, kiuno, na viungo mlitumia dawa gani?

Ndugu zangu mliowahi kuumwa maumivu ya kiuno au mgongo au viungo vingine mlitumia dawa gani?

Mfano matatizo kama "neuropathic pain, nerve pain, joint pain or Arthritis mliponaje?

Nauliza nipate ushuhuda maana nasumbuliwa na maumivu ya kiuno nilishaenda hosp nikapimwa magonjwa yote Xray ikaonyesha nina shida kwenye mifupa nikapewa dawa aina ya "Pregabalin na meloxican" ndo naendelea kumeza lakini nahisi itachukua muda sana kupona

Ndugu zangu mlopitia hili mlitumia dawa gani au tiba gani?Maana sahv watu wengi tu wanateseka na hili tatzo
Ukiongeza na Physiotherapy itakufaa.

Ukipata Chiropractic sessions utapata nafuu kwa haraka zaidi (ukipata chiropractician anayejua session 3 zitatosha kurejesha kwenye ubora wako).

Kila la heri mkuu
 
Mzee wangu alikua anatumia Rubber moja hivi inajazwa maji ya Moto haswa kisha inafungwa alafu unamwekea kiunoni na Moto wake, yeye ule Moto naona ndio ilikua pona yake inakaa hapo kiunoni hadi anapitiwa usingizi akiashtuka maji yamepoa na kiuno kimekaa sawa anameza dawa na dawa zingine nampaka kiunoni then Basi Ila kikubwa kilichomponya ni Rubber ya maji Moto na dawa za kuchua na kumeza sasa hivi yupo safi hatumii tena Rubber
Mshauri afanye physiotherapy pia. Itamuimarisha zaidi

Best wishes
 
Mkuu naomba msaada wako kaka angu anaugua mno ashatuma dawa za hospital bila mafanikio za kuchoma kwa joint'kumeza dawa za maumivu kuchua kwa umeme hadi kaunguastill ugaonjwa umehamia joint mikononi naomba nisaidie hiyo dawa tafadhali ikiwezekana weka hapa kwa jukwaa watu wote waone
Mkuu, ndugu yako ameshapona?
 
Mkuu, ndugu yako ameshapona?
Bado ndugu yangu tunajitahidi kutumia dawa kila tunayoambiwa lakini ni kama zinatuliza tu badae tatizo linaanza upya kama kuna solution huko tusaidiane mkuu
 
Lala chini usilale kitandani kwa siku 3 tu lalia mkeka mgogo ukiwa chini
 
Bado ndugu yangu tunajitahidi kutumia dawa kila tunayoambiwa lakini ni kama zinatuliza tu badae tatizo linaanza upya kama kuna solution huko tusaidiane mkuu
Mpatie chai ya alkasusi. Ile ni dawa mujarabu kwa ishu za kiuno na mgongo.

Nilivyojifungua watoto mapacha mwaka huu nilikuwa naumwa Sana kiuno na mgongo. Nikashauriwa nitumie alkasusi. Ndugu wakaninunulia Tanga pakiti sita. Nikawa natumia kama chai yangu asubuhi mchana jioni. Nilipona kabisa. Hadi muda huu nipo fiti, siweki mito na manguo nguo ili kuegemea sehemu yoyote.
 
Mpatie chai ya alkasusi. Ile ni dawa mujarabu kwa ishu za kiuno na mgongo.

Nilivyojifungua watoto mapacha mwaka huu nilikuwa naumwa Sana kiuno na mgongo. Nikashauriwa nitumie alkasusi. Ndugu wakaninunulia Tanga pakiti sita. Nikawa natumia kama chai yangu asubuhi mchana jioni. Nilipona kabisa. Hadi muda huu nipo fiti, siweki mito na manguo nguo ili kuegemea sehemu yoyote.
Kiuno kipone kwa alikasusus pasipo mikando we ulisikia wapi
 
Mpatie chai ya alkasusi. Ile ni dawa mujarabu kwa ishu za kiuno na mgongo.

Nilivyojifungua watoto mapacha mwaka huu nilikuwa naumwa Sana kiuno na mgongo. Nikashauriwa nitumie alkasusi. Ndugu wakaninunulia Tanga pakiti sita. Nikawa natumia kama chai yangu asubuhi mchana jioni. Nilipona kabisa. Hadi muda huu nipo fiti, siweki mito na manguo nguo ili kuegemea sehemu yoyote.
Asante kwa ushauri ndugu shukrani kweli kweli tutajaribu na hiyo pia
 
Back
Top Bottom