Mliosema Simba alinunua kwa Polisi kumpiga 6, Leo Azam kamkandamiza Polisi 8 0 na Dube kaweka 4 mnasemaje

Unataka jeshi au mpira hilo ndio swali waliulizwa wajela jela wakaona bora jeshi.
 
ujinga mtupu. Kuonekana umenunua si kwa sababu ya idadi ya magori, hata goli moja unaweza nunua banaa..!!
 
Sasa mtu ana mwiko nyuma akili atatoa wapi???muwasaidie kuchomoa hilo jimwiko nyuma huko akili zitawarejea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…