Acha kujifariji mkuu div four ni ile ile uwe private au government. ...Ni kweli kwasababu hatutafuniwi.
Hatuna vitabu.
Tunajitafutia.
Mwalimu anakuapia lazima ufeli.
Darasa unalofanyia mtihani watu wanat01mbania.
Walimu hawajielewi.
4 ya 28 ya kata ni strong kuliko ya private.
Shule za kata zina matatizo mengi sana ukiwa private hata mwalimu anakuheshim sasa Shule za Gvt Mwalimu ana stress ikizangia na wewe ndio ngeli imekaa kushoto na haumuelewi kabisa atakupiga akuue kabisaNdio tatizo letu..yaani watu wanaona uhuni na kuvunja sheria kama ndio ujanja..
wakati wenzao wana memories za ushindi wa debate na shule nyingine , ushindi wa ligi za inter school n.k
Kwani nani hajui kama nyinyi mnatafuniwa?Acha kujifariji mkuu div four ni ile ile uwe private au government. ...
Na nani kakwambia shule zote za private wanatafuniwa..kikubwa kwa mwanafunzi ni discipline anajiwekea kwenye masomo na akili yake..
Kwahio ujinga wa wanafunzi ndio sababu ya kufeli
Maisha safari mzee..afu si unajua tena mambo ya msafiri kafiri...haha.Hahahahahaaa we ulikua hufai aisee unanikumbusha mbali sana
Haa haa haa haa aiseee tutamis sana hiz zamaSiku za wali nlikuwa naenda kwenye foleni saa 7 badala ya nane nikiwa na kile kisado cha lita 3 ili punga lionekane chache mgawaji apate moyo wa kuongeza kidogo..
[emoji1] [emoji1]
Siku zinaenda aiseeh!
Hii ya kukaanga dagaa imenikumbusha wakati nipo olevo.Kila jumapili Ilikua lazima nitoroke nikale wali / pilau kwa sista angu hukooo Sua hahahahaha nakaanga na vitunguu vingiiii na dagaa narudi navyo bwenini Weeee nikifungua tranca tu harufu dom zimaaa hapo neanut butter inapumzika kwanza
Cc Smart911
Advance nimesoma private nimepewa vitabu shuleni , walimu walikua ni wa shida , tulikua hatuna ruhusa za kwenda mjini kupiga mapindi tution kama wanafunzi wa government, usiku tulikua haturuhusiwi kutoboa mwisho kusoma ilikua ni saa nne na dk 45 baada ya hapo taa zinazimwa. Tulichopewa ilikua ni vitabu vya kutosha tuKwani nani hajui kama nyinyi mnatafuniwa?
Mimi nipo kidato cha tatu mwalimu aligoma kutufundisha mwaka mzima tunaingia kidato cha nne mwalimu wa kidato cha nne anasema kuna vitu sitafundisha mlijifunza kidato cha tatu.
Nyiye mayai si mngeandamana?
Unadhani ni sifa kusoma bila kufundishwa na mwalimu ?Kwani nani hajui kama nyinyi mnatafuniwa?
Mimi nipo kidato cha tatu mwalimu aligoma kutufundisha mwaka mzima tunaingia kidato cha nne mwalimu wa kidato cha nne anasema kuna vitu sitafundisha mlijifunza kidato cha tatu.
Nyiye mayai si mngeandamana?
Hapo waombaji sasa...wa kujibeatisha[emoji1] [emoji1]Kila jumapili Ilikua lazima nitoroke nikale wali / pilau kwa sista angu hukooo Sua hahahahaha nakaanga na vitunguu vingiiii na dagaa narudi navyo bwenini Weeee nikifungua tranca tu harufu dom zimaaa hapo neanut butter inapumzika kwanza
Cc Smart911
Long t sana niliwai mwaga ndoo ya nyama kisa utata wa kuongezewa nyama kilichofua mbio ziliniokoa.Watoto wa day hawajui izEnzi hizo hapo yani mi kwenye foleni hyo Sikai kabisa.....natumia ujanja ujanja mpka nachukua ugali wangu nasepa....
Kuna siku moja ilikua ni ya wali jumatano.....ile kuhangaika jamaa libabe LA form four likanidaka bhana...daaah nilikula kwenzi nying sana afu na msosi sikupata.....sitakuja kusahau ile njaa ya kukosa wali.View attachment 823881
Hapo waombaji sasa...wa kujibeatisha[emoji1] [emoji1]
Hii inanikumbusha mlokole mmoja karudi na pilau kwenye tranca na cake ya besiday mida watu wanaenda prepo watu tuka piga u-turn aliporudi alikuta bonge la nguna!Kila jumapili Ilikua lazima nitoroke nikale wali / pilau kwa sista angu hukooo Sua hahahahaha nakaanga na vitunguu vingiiii na dagaa narudi navyo bwenini Weeee nikifungua tranca tu harufu dom zimaaa hapo neanut butter inapumzika kwanza
Cc Smart911