Ilitufundisha kusocialize sana...Acha kabisa waombaji hawakosiiii.. Nami siku nikidorora natolea jicho kwa wenzangu lol Yani jumapili nikitoroka siku nzima sili chakula cha shule hahahahaha.......boarding gvt schools bana
Cc Smart911
Sidhani kama umefanya utafiti wa kutosha, mwanafunzi wa gvt school mwenye div I na yule wa private school mwenye div I, wana tofauti kibwa kwenye baadhi ya mambo. Ukitaka kujua, wakifika vyuo vikuu, na hasa vya serikali fuatilia matokeo yao utajua ni yupi kipanga. Hii ina apply kwa divisions zote.Advance nimesoma private nimepewa vitabu shuleni , walimu walikua ni wa shida , tulikua hatuna ruhusa za kwenda mjini kupiga mapindi tution kama wanafunzi wa government, usiku tulikua haturuhusiwi kutoboa mwisho kusoma ilikua ni saa nne na dk 45 baada ya hapo taa zinazimwa. Tulichopewa ilikua ni vitabu vya kutosha tu
Lakini kwa discipline tuliyokua nayo darasa langu la pcb waliopata div 3 walikua wachache wengi ilikua ni div 1 na 2... nenda kaangalie wale wa government waliokua na 24hrs ya kujisomea na uhuru wa kwenda town kusoma tution wengi walipata ngapi?
Huu utaratibu wa kujivunia matatizo hua upo Tanzania pekee. Sasa kama mwalimu amegoma kuwafundisha hilo ni kosa la nani?Kwani nani hajui kama nyinyi mnatafuniwa?
Mimi nipo kidato cha tatu mwalimu aligoma kutufundisha mwaka mzima tunaingia kidato cha nne mwalimu wa kidato cha nne anasema kuna vitu sitafundisha mlijifunza kidato cha tatu.
Nyiye mayai si mngeandamana?
Hahaha hapo kwenye kerosene sikumoja yakatokea mabishano eti kerosene inatufanya tusidindishe huku na kule watu wakaaza piga nyento duuuh bodingi hakuishi vituko!noumaaa sana yaniiii.. walau maharage yanasound kooni otherwise mhh... na Ile harufu ya kerosene sasa hatareeeeeeeeeeeee
cc Smart911
Hii inanikumbusha mlokole mmoja karudi na pilau kwenye tranca na cake ya besiday mida watu wanaenda prepo watu tuka piga u-turn aliporudi alikuta bonge la nguna!
Mazezeta yenye bright future!! Nyie mliofanyishwa kazi za sulubu huku mkiandika masomo yote kwenye daftari moja mlifaidika nini? Zaidi ya kujivunia shida? Yaani kwenu ignorance is a bliss!!Private schools nyingi zimejaza matoto mazezeta
Hii inanikumbusha mlokole mmoja karudi na pilau kwenye tranca na cake ya besiday mida watu wanaenda prepo watu tuka piga u-turn aliporudi alikuta bonge la nguna!
Mwenye akili ana akili tu kama umepata div 1 iwe private au government ukiwa na juhudi chuoni unafanya vizuri..Sidhani kama umefanya utafiti wa kutosha, mwanafunzi wa gvt school mwenye div I na yule wa private school mwenye div I, wana tofauti kibwa kwenye baadhi ya mambo. Ukitaka kujua, wakifika vyuo vikuu, na hasa vya serikali fuatilia matokeo yao utajua ni yupi kipanga. Hii ina apply kwa divisions zote.
Alianza kutoa laana zake za kilokole watu cake iko kwenye tumbo !Kuna mseng.e mmoja alikua domleader mnoko sana yeye anatufukuza twende prepo then yeye analala siku tukamwekea upupu.Tunarudi dom kutokea prepo tunakuta jamaa kama kibwengo kajipaka jivu uchi mwili mzima huku akitukana sana asee tulicheka sana !Hahahahaha. lol nyie wabayyyyaaa jamani keki ya watu kwa hostel jamani dahhhhhhhhhh!! hajalia kweli huyo??? prepo mi nilikua naenda kusinzia tu labda kwenye pepa zile diskasheni otherwise nilikua nasomea dekani... mwl akipita najilaza katikati ya deka straight kama maiti vile haoni mtu akiyumba wala nini na nilikua kadogoo kembambaaa akitoka tu naamka kuchat na boy wangu wa day mwenyewe hahahahaha boarding bana
Cc Smart911
Shule za gorv zilipigwa 96 kwa 4!! Bado ma looser waliotokea huko wanafarijiana! Tulikuwa tukiwaita slummers!Shule za serikali ndio zimejaza mazezeta na matikiti maji...
Zero nyingi zinatoka shule za kata za serikali
Sure kuna besidei moja tulingiza creti la bia it was bingwa kuna mroho mmoja akapiga 4 kilichokuja tokea aliharisha ndembendembe na kukimbizwa hospitali !hostel ukialikwa kwenye besdei wewe mjaaa upo juu make walioweza kufanya besdei Japo kwa kujificha ni wachache Yani wachache sanaa..
cc Smart911
Alianza kutoa laana zake za kilokole watu cake iko kwenye tumbo !Kuna mseng.e mmoja alikua domleader mnoko sana yeye anatufukuza twende prepo then yeye analala siku tukamwekea upupu.Tunarudi dom kutokea prepo tunakuta jamaa kama kibwengo kajipaka jivu uchi mwili mzima huku akitukana sana asee tulicheka sana !
Kwahiyo unavyojua mwanafunzi wa government ana 24 hrs za kusoma?Advance nimesoma private nimepewa vitabu shuleni , walimu walikua ni wa shida , tulikua hatuna ruhusa za kwenda mjini kupiga mapindi tution kama wanafunzi wa government, usiku tulikua haturuhusiwi kutoboa mwisho kusoma ilikua ni saa nne na dk 45 baada ya hapo taa zinazimwa. Tulichopewa ilikua ni vitabu vya kutosha tu
Lakini kwa discipline tuliyokua nayo darasa langu la pcb waliopata div 3 walikua wachache wengi ilikua ni div 1 na 2... nenda kaangalie wale wa government waliokua na 24hrs ya kujisomea na uhuru wa kwenda town kusoma tution wengi walipata ngapi?
Sure kuna besidei moja tulingiza creti la bia it was bingwa kuna mroho mmoja akapiga 4 kilichokuja tokea aliharisha ndembendembe na kukimbizwa hospitali !
Wanaosomeshwa kwenye shule za kata huwa wanalazimika au kulazimishwa kulipa kwa kuwalea waliowasomesha! Wakati hawa wa international schools wanaandaliwa kuja kusimamia miradi iliyoandaliwa kwa ajili yao!Ndo mwishoni huku wanakuja kuishia kuwa mazoba yn bila ajira bs maisha yao hayaendi