Mliosoma mashule ya international hebu mkuje hapa tuwafundishe hizi mambo

Ndio hap
Huu utaratibu wa kujivunia matatizo hua upo Tanzania pekee. Sasa kama mwalimu amegoma kuwafundisha hilo ni kosa la nani?

Hilo linakufanya vipi kua bora zaidi ya yule ambae mwalimu wake amemfundisha vizuri?
Ndio hapa nashangaa! Mimi mwenyewe nilisoma government schools lakini siwezi kuruhusu mwanangu asome tena hizo shule
 
Huu utaratibu wa kujivunia matatizo hua upo Tanzania pekee. Sasa kama mwalimu amegoma kuwafundisha hilo ni kosa la nani?

Hilo linakufanya vipi kua bora zaidi ya yule ambae mwalimu wake amemfundisha vizuri?
Kujivunia? Wewe wasema.
 
zile joint mass zile daaaahhhhhh.. nahivi hostel ni girls tupu ukute tunaenda mzumbe sasa tunajipooodooooo hahaha competition hapo morosec na kilakala kugombania boys wa mzumbe hahahahaha boarding bana.. hapo mzumbe wana prefer kilakala basi morosec bifuuuu


cc Smart911
 


yeah kunafundisha sana kwakweli,, hao dawa yao ni kukutana na wanafunzi watukutuuu



cc Smart911
 
O level nilipita mawenzi sec. moshi, maisha yalikuwa mazuri sana kuliko hata shule niliyoenda a level ya kishua, madogo wengi walikuwa ni watoto wa viongozi wa serikali eti wanagoma wanataka maandazi na sambusa [emoji23][emoji23]

Mawenzi kila kitu unapata maana ni hela yako tuu niliishi kishua sana kuliko ushuani kwenyewe
 
Mwenzenu ilikuwa ikifika muda wa mapumziko saa nne wanafunzi wenzangu wakishatoka nje, mimi napitia mikoba/mabegi ya mademu na kukusanya maparachichi, mahindi yaliyochemshwa, maembe, mihogo iliyochomwa na hela alafu nasepea shamba la jirani na shule tukiwa na marafiki kama wawili au watatu tunakaa chini ya kahawa au mgomba tunakula mpaka tunashiba alafu tunarudi nyuma ya darasa mpaka mapumziko yaishe ndio tunaungana na wenzetu kuingia darasani huku tukiwa fiti!
Huwezi amini kuna siku tumefungua begi la demu mmoja tukachomoa embe la kwanza, la pili, muhogo uliochomwa fresh! Ile kuchomoa tena tukatoka na pedi yenye damudamu kama tomato hivi, [emoji23] [emoji23]
Wakati huo hatukujua ni nini kile mpaka tulipokuja kuuliza kwa Wajanja

Mambo ya shule ni matamu sana aisee huwezi amini! Tulipoingia darasa la sita hadi la saba tulikuwa tunaenda hadi kuwinda kwenye mapori ya jirani alafu tunawaita mademu wachache kulingana na idadi yetu basi huko porini ni bangi na starehe za kizamani! Dah
 
Mazezeta yenye bright future!! Nyie mliofanyishwa kazi za sulubu huku mkiandika masomo yote kwenye daftari moja mlifaidika nini? Zaidi ya kujivunia shida? Yaani kwenu ignorance is a bliss!!
Poa mtoto wa international school
 
Shule za serikali ndio zimejaza mazezeta na matikiti maji...
Zero nyingi zinatoka shule za kata za serikali
Wanunua mitihani nyie hamna kitu tupo vidume tuliotoboa na kata toka primary mpaka advance
 
Wanunua mitihani nyie hamna kitu tupo vidume tuliotoboa na kata toka primary mpaka advance
Nimesoma private kuanzia F1 hadi F6 sijawahi kupewa pepa nimetoboa kwa akili zangu na nimeenda chuo nikawa nawakimbiza jamaa waliotoka government ingawa sio wote..

Kwahio swala la akili sio government wala private ni kichwa cha mtu tu
 
Nimesoma private kuanzia F1 hadi F6 sijawahi kupewa pepa nimetoboa kwa akili zangu na nimeenda chuo nikawa nawakimbiza jamaa waliotoka government ingawa sio wote..

Kwahio swala la akili sio government wala private ni kichwa cha mtu tu
Nyie jau mpo kama kuku wa kisasa
 
Mm nimesoma kwenye shule ya private flani hivi maarufu sana iko jijini dsm maeneo ya tabata hivi, kipnd tuko form 1 kulizuka mtindo wakulawitiana kwa kuviziwa usiku ukiwa umelala sasa kasheshe yake sasa kukesha kama mapopo
 
Siku ya wali timu zima aka MEZA ilikuwa inakamilika yaani kama meza moja mpo 10 basi timu nzima inakuwepo ila siku ya ugali sometime mnajikuta 7 (yaani siku ya wali unaomba watu wasitokee lakini wapi)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…