Uchaguzi 2020 Mliosoma na kuiva vyema kabisa katika 'Political Science', kauli ya kidhaifu kama hii ifuatayo inaruhisiwa kutamkwa na aliyeshikilia Mpini?

Uchaguzi 2020 Mliosoma na kuiva vyema kabisa katika 'Political Science', kauli ya kidhaifu kama hii ifuatayo inaruhisiwa kutamkwa na aliyeshikilia Mpini?

hata kwa mtu wa std 6 anajua maumivu yaliyosababishwa na awamu hii;
hatuko kama nchi, tumegawanywa kwa ukanda na ukabila
Uongo ulipitiliza
Unyanyasaji wa wapinzani na kesi za kubambikizia
wafanyakazi hawana amani wala furaha makazini.
maamuzi ni ya mtu mmoja.
 
Halafu wewe GENTAMYCINE sauti yako inakoroma koroma kuliko kawaida....sijui wamekudunga steroids ili zikupe ile sauti ya mamlaka maana ndani yako hamna mamlaka.
 
kama kwenu mna asili ya uendawazimu ndio unaweza kuandika haya uliyoandika kwani akili muda wote haina akili!
kwetu tuna akili timamu kabisa tatizo ni wewe akili yako bado inanuka mkojo wa bar mama yako alipata mimba baada ya kubakwa bar alivyokuwa amelewa sasa wewe utakuwa na akili kweli?
 
Genta, hata viongozi wengine ndani ya CCM wameanza kujishtukia kuwa hawana MTU sahihi
IMG-20200907-WA0072.jpg
IMG-20200907-WA0073.jpg
 
Unfortunately hapa hakuna pointi yoyote unayojaribu kutuma. Political Science haiingii hapo kabisa, bali ni swala la mass mobilization ambayo ndiyo kampeini yenyewe. Sidhnani kama wewe unapenda mkombea wako apige kampeini bila kuhamasisha umma, yaani mass mobilization. Lissu anafanya sana hiyo ya kuwachokonoa watu waichukiea serikali ilikpo madarakani kama sehemu mkakakati wake wa mass mobilization. It cuts both ways
 
akikaza pia mnapovuka.

pale mjuba anapojaribu kuremba mwandiko anauwekea na maua kabisa.

yaani hapo kajaribu kuwa romantic.
 
Nimetafuta udhaifu kwenye hiyo kauli sijauona.
Sawa kabisa...
Mathayo:13.14
Na neno la nabii Isaya linatimia kwao, likisema, Kusikia mtasikia, wala hamtaelewa; Kutazama mtatazama, wala hamtaona.
Mathayo:13.15
Maana mioyo ya watu hawa imekuwa mizito, Na kwa masikio yao hawasikii vema, Na macho yao wameyafumba; Wasije wakaona kwa macho yao, Wakasikia kwa masikio yao, Wakaelewa kwa mioyo yao, Wakaongoka, nikawaponya.
 
Sasa kama tu Mgombea 'Mshika Mpini' anazuia Wananchi wa Malawi ya Kaskazini wasiwachague 'Washindani' wake je, na Wao wasemeje labda?
Yaani ulitegemea mgombea amnadi mgombea mwezake!? Au mimi ndiye nimechelewa basi la kwenda Lilongwe!?
 
Back
Top Bottom