Ndio kabila gani hilo?Genta ana akili sana. Huwezi kuwa na Damu ya kabila lenye akili zaidi Africa alafu ukakosa akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kabila gani hilo?Genta ana akili sana. Huwezi kuwa na Damu ya kabila lenye akili zaidi Africa alafu ukakosa akili
kama kwenu mna asili ya uendawazimu ndio unaweza kuandika haya uliyoandika kwani akili muda wote haina akili!yuko sahihi maana huwezi kumchagua wakala wa beberu kuja kuongaoza nchi tutauzwa
Mku wakala wa mabeberu mbona ni maneno tuu yanayoonyesha tumeshindwa kujibu hoja au kama chama tunaoneka hatukujiandaa ktk hiki kipindi cha uchaguziyuko sahihi maana huwezi kumchagua wakala wa beberu kuja kuongaoza nchi tutauzwa
kwetu tuna akili timamu kabisa tatizo ni wewe akili yako bado inanuka mkojo wa bar mama yako alipata mimba baada ya kubakwa bar alivyokuwa amelewa sasa wewe utakuwa na akili kweli?kama kwenu mna asili ya uendawazimu ndio unaweza kuandika haya uliyoandika kwani akili muda wote haina akili!
October 28 is the answer!Bahati nzuri wengi waliopata ujumbe huu ni kundi la wacheza chandimu hata Serengeti Boys hawajafikia umri wa kusajiliwa.
Kwa ushindi wa MasakiOctober 28 is the answer!
Sawa kabisa...Nimetafuta udhaifu kwenye hiyo kauli sijauona.
Yaani ulitegemea mgombea amnadi mgombea mwezake!? Au mimi ndiye nimechelewa basi la kwenda Lilongwe!?Sasa kama tu Mgombea 'Mshika Mpini' anazuia Wananchi wa Malawi ya Kaskazini wasiwachague 'Washindani' wake je, na Wao wasemeje labda?
Nimetafuta udhaifu kwenye hiyo kauli sijauona.