Uchaguzi 2020 Mliosoma na kuiva vyema kabisa katika 'Political Science', kauli ya kidhaifu kama hii ifuatayo inaruhisiwa kutamkwa na aliyeshikilia Mpini?

Uchaguzi 2020 Mliosoma na kuiva vyema kabisa katika 'Political Science', kauli ya kidhaifu kama hii ifuatayo inaruhisiwa kutamkwa na aliyeshikilia Mpini?

Wewe GENTAMICINI wewe Mungu ana kuona.

Kwanini? Kwani Mkuu na Wewe tupo wote hapa nchini Malawi ya Kaskazini nilipo Mimi? Ila nipo mbioni Kuomba Likizo nirudi zangu huko Tanzania.
 
"Nichagueni Mimi GENTAMYCINE si mmeona kabisa Maendeleo niliyowafanyia? Kamwe msiwachague hao Wahuni, wanaotumiwa na akina Trump na Johnson. Nichagueni tu Mimi GENTAMYCINE ambaye kiukweli ndiyo nayajua matatizo yenu makubwa na msiwachague kabisa hao wengine kwani ni Mafisadi, Waongo na hawana Uchungu na nchi yetu hii ya Malawi ya Kaskazini kabisa. Nichagueni Mimi GENTAMYCINE kwani ndiyo Masikini mwenzenu na kamwe msiwachague hawa Mawakala wa Mabeberu ambao wengi Wao huwa hawaishi Tanzania na wala hawana nia njema nayo kabisa "

Sasa kama tu Mgombea 'Mshika Mpini' anazuia Wananchi wa Malawi ya Kaskazini wasiwachague 'Washindani' wake je, na Wao wasemeje labda?
Kampeini sio mhadhara wa kinadharia chuo kikuu bali ni namna ya kufanya ushawishi ili wanao kusikiliza waweze kuvutiwa na kukuunga mkono na hatimaye kukuchagua. Kwa hiyo kabla hujaanza kutoa hotuba yako lazima uzingatie mambo muhimu mawili:
  1. Utamaduni wa kisiasa (Political culture) wa eneo husika
  2. Tabia ya upigaji kura (Voting behavior) kwa eneo husika.
Hivyo mtindo, na maudhui ninayoweza kutumia na kutoa katika jukwaa la Arusha sio lazima iwe hivyo kwa bukoba mjini na maeneo mengine kadhaa wa kadha.

Kwa hiyo namna nitakavyo ongea na maudhui nitakayo toa itategemea utamaduni wa kisiasa na tabia ya upigaji kura kwa eneo husika. Mwisho aliyezichanga vizuri ndiye huibuka mshindi.
 
Genta ana akili sana. Huwezi kuwa na Damu ya kabila lenye akili zaidi Africa alafu ukakosa akili

Na hasa hasa ukiwa una Damu ya 'Kizanaki' ambao ni 'Werevu' wa Tanzania halafu ukiwa tena na Damu ya 'Kitutsi' ambao ni 'Werevu' wa Rwanda.
 
Ewe mkapa fufuka hata kwa ñdoto ulete matumaini, busara na mikakati ya kampeni maana nahisi kukaribia kusema pengo lako halidhibiki.
 
Kwanini? Kwani Mkuu na Wewe tupo wote hapa nchini Malawi ya Kaskazini nilipo Mimi? Ila nipo mbioni Kuomba Likizo nirudi zangu huko Tanzania.
Unapenda mafumbo na hii ni dalili kwamba hujiamini utakufa na kijiba cha roho...
 
Unapenda mafumbo na hii ni dalili kwamba hujiamini utakuta na kijiba cha roho...

Na hata aliyekuleta duniani nisingetumia 'Mafumbo' haya Kwake wala asingekuwa 'anaweza' Kumtoroka na Kumsaliti 'Mshua' wako na kuja Kwangu.
 
"Nichagueni Mimi GENTAMYCINE si mmeona kabisa Maendeleo niliyowafanyia? Kamwe msiwachague hao Wahuni, wanaotumiwa na akina Trump na Johnson. Nichagueni tu Mimi GENTAMYCINE ambaye kiukweli ndiyo nayajua matatizo yenu makubwa na msiwachague kabisa hao wengine kwani ni Mafisadi, Waongo na hawana Uchungu na nchi yetu hii ya Malawi ya Kaskazini kabisa. Nichagueni Mimi GENTAMYCINE kwani ndiyo Masikini mwenzenu na kamwe msiwachague hawa Mawakala wa Mabeberu ambao wengi Wao huwa hawaishi Tanzania na wala hawana nia njema nayo kabisa "

Sasa kama tu Mgombea 'Mshika Mpini' anazuia Wananchi wa Malawi ya Kaskazini wasiwachague 'Washindani' wake je, na Wao wasemeje labda?
Umetia Nazi kwenye supu! umeitaja Tanzania kwenye andiko lako! nawakati wewe uko Malawi ya kask in! tufanye ni makosa ya kiuandishi! Sasa turudi kwenye mada. baba jesca amechanganyikiwa!
 
Umetia Nazi kwenye supu! umeitaja Tanzania kwenye andiko lako! nawakati wewe uko Malawi ya kask in! tufanye ni makosa ya kiuandishi! Sasa turudi kwenye mada. baba jesca amechanganyikiwa!

Nimeitaja Tanzania Kimakosa kwani wakati ninaandika kuna Demu wangu kutoka nchini Tanzania alinipigia Kunisalimia na nikajisahau kabisa. Pole!
 
Hii inaonesha Udhaifu mkubwa ingawaje kwa hulka za kiafrika huyo mgombea aliposhuka jukwaani lazima kuna wapambe walimfuata kumpa kichwa "Leo mkuu umetoa madini tupu" kumbe amemwaga upupu.
Haaaaaa..... Kwamba mkuu leo umemwaga madini ya kufa mtu[emoji2957]
Wanafiki sio watu wazuri
 
Back
Top Bottom