GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #41
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe GENTAMICINI wewe Mungu ana kuona.
Kampeini sio mhadhara wa kinadharia chuo kikuu bali ni namna ya kufanya ushawishi ili wanao kusikiliza waweze kuvutiwa na kukuunga mkono na hatimaye kukuchagua. Kwa hiyo kabla hujaanza kutoa hotuba yako lazima uzingatie mambo muhimu mawili:"Nichagueni Mimi GENTAMYCINE si mmeona kabisa Maendeleo niliyowafanyia? Kamwe msiwachague hao Wahuni, wanaotumiwa na akina Trump na Johnson. Nichagueni tu Mimi GENTAMYCINE ambaye kiukweli ndiyo nayajua matatizo yenu makubwa na msiwachague kabisa hao wengine kwani ni Mafisadi, Waongo na hawana Uchungu na nchi yetu hii ya Malawi ya Kaskazini kabisa. Nichagueni Mimi GENTAMYCINE kwani ndiyo Masikini mwenzenu na kamwe msiwachague hawa Mawakala wa Mabeberu ambao wengi Wao huwa hawaishi Tanzania na wala hawana nia njema nayo kabisa "
Sasa kama tu Mgombea 'Mshika Mpini' anazuia Wananchi wa Malawi ya Kaskazini wasiwachague 'Washindani' wake je, na Wao wasemeje labda?
Genta ana akili sana. Huwezi kuwa na Damu ya kabila lenye akili zaidi Africa alafu ukakosa akili
Musiba simuoni ktk kampeni za bwana wake vipi?
Ndio kabila gani hilo?
yuko sahihi maana huwezi kumchagua wakala wa beberu kuja kuongaoza nchi tutauzwa
Unapenda mafumbo na hii ni dalili kwamba hujiamini utakufa na kijiba cha roho...Kwanini? Kwani Mkuu na Wewe tupo wote hapa nchini Malawi ya Kaskazini nilipo Mimi? Ila nipo mbioni Kuomba Likizo nirudi zangu huko Tanzania.
Unapenda mafumbo na hii ni dalili kwamba hujiamini utakuta na kijiba cha roho...
Mdhaifu+udhaifu=xyNimetafuta udhaifu kwenye hiyo kauli sijauona.
Ficha "upumbavu"wako onyesha...Na hata aliyekuleta duniani nisingetumia 'Mafumbo' haya Kwake wala asingekuwa 'anaweza' Kumtoroka na Kumsaliti 'Mshua' wako na kuja Kwangu.
Umetia Nazi kwenye supu! umeitaja Tanzania kwenye andiko lako! nawakati wewe uko Malawi ya kask in! tufanye ni makosa ya kiuandishi! Sasa turudi kwenye mada. baba jesca amechanganyikiwa!"Nichagueni Mimi GENTAMYCINE si mmeona kabisa Maendeleo niliyowafanyia? Kamwe msiwachague hao Wahuni, wanaotumiwa na akina Trump na Johnson. Nichagueni tu Mimi GENTAMYCINE ambaye kiukweli ndiyo nayajua matatizo yenu makubwa na msiwachague kabisa hao wengine kwani ni Mafisadi, Waongo na hawana Uchungu na nchi yetu hii ya Malawi ya Kaskazini kabisa. Nichagueni Mimi GENTAMYCINE kwani ndiyo Masikini mwenzenu na kamwe msiwachague hawa Mawakala wa Mabeberu ambao wengi Wao huwa hawaishi Tanzania na wala hawana nia njema nayo kabisa "
Sasa kama tu Mgombea 'Mshika Mpini' anazuia Wananchi wa Malawi ya Kaskazini wasiwachague 'Washindani' wake je, na Wao wasemeje labda?
Umetia Nazi kwenye supu! umeitaja Tanzania kwenye andiko lako! nawakati wewe uko Malawi ya kask in! tufanye ni makosa ya kiuandishi! Sasa turudi kwenye mada. baba jesca amechanganyikiwa!
Ficha "upumbavu"wako onyesha...
Haaaaaa..... Kwamba mkuu leo umemwaga madini ya kufa mtu[emoji2957]Hii inaonesha Udhaifu mkubwa ingawaje kwa hulka za kiafrika huyo mgombea aliposhuka jukwaani lazima kuna wapambe walimfuata kumpa kichwa "Leo mkuu umetoa madini tupu" kumbe amemwaga upupu.
Huwezi ona sababu ushakuwa msukuleNimetafuta udhaifu kwenye hiyo kauli sijauona.
Msamehe bure mkuu!Naona 'Dozi' yangu 'imeshapenya' hivyo Siku zingine uwe makini sana na Mimi kwani huwa siwacheleweshi 'Majuha' Waandamizi kama Wewe hivi.
Msamehe bure mkuu!
😛 😛 Extreme mental retardation even such individual can not commit sin (Cretin=like Christ)Another 'Cretin' Member!