Uchaguzi 2020 Mliosoma na kuiva vyema kabisa katika 'Political Science', kauli ya kidhaifu kama hii ifuatayo inaruhisiwa kutamkwa na aliyeshikilia Mpini?

Alienda Mara akaanza kuwafokea Wakurya,sasa ndiyo akaharibu kila kitu mpaka akasahau kumnadi Mgombea wa chama chake,
Wale wazee wamekasirika sana wanaenda kwenye mkutano alafu anawafokea.
Sijui kama watapata hata Mbunge Mmoja huko.
 
Yamemfika hapa, sasa yanamtoka tu.... uongozi haufanyiwi majaribio!
 
Ujuaji ukizidi matokeo yake ndio haya sasa .Kufanya Mambo bila busara impact yake ndio hii , Kuna maamuzi na Mambo aliyafanya ndani ya miaka mitano bila kuangalia matokeo yake , Sasa ndio muda unampa majibu na bado hasa plan b ya Lissu hatoamini.
 
Na hata aliyekuleta duniani nisingetumia 'Mafumbo' haya Kwake wala asingekuwa 'anaweza' Kumtoroka na Kumsaliti 'Mshua' wako na kuja Kwangu.
Wewe dogo huwa huwezi kubishana au kujibu hoja bila kumhusisha mzazi wa unayebishana naye, sijui ni ushamba au utoto unakusumbua.
 
Hapa ni kwa aliyenacho na asiyekuwa nacho. Ingawa sijasomea Sayansi ya Jamii, mie naona yupo sahihi kwa kuwa katika utawala wake ameonyesha uthubutu kwa watanzania, ambao wengi siku za nyuma tulikuwa tunaimba. Hivyo lazima atawaambia wapiga kura yeye amefanya hiki na anataka kuendeleza kile ambacho ameanza kukitekeleza, kwa maoni yangu yupo sahihi.
 
wapiga kura ni watu wa rika tofauti, elimu tofauti, mazingira wanayoishi na namna ya maisha ni tofuti, kwahiyo katika siasa ukiyazingatia hayo hakuna kauli ya kidhaifu inategemea unazungumza na wapiga kura wa namna gani na wakati gani, vinginevyo naona mtoa maada ndo dhaifu wa kuelewa mambo sababu ana haraka ya kuelewa, yaani anadaka mambo juu juu halafu anaamini kaelewa.
 
Mkuu, inastaajabisha! Tusubiri watoa maoni
 
Well said
 
kwetu tuna akili timamu kabisa tatizo ni wewe akili yako bado inanuka mkojo wa bar mama yako alipata mimba baada ya kubakwa bar alivyokuwa amelewa sasa wewe utakuwa na akili kweli?
Akili ya mtu aliyeishiwa hoja
 
Kwa Tz ni aliyeichagua tume
 
Maoni ya msukule
 
Ndiyo maana katika uhakiki wa vyeti alikwepa kwasababu anamiliki phd fake
 
Kwa nyongeza tu huku kwetu maandiko yanasema "wana macho lkn Hawaoni, wana masikio lkn hawasikii, wamepewa akili lkn hawzitumii ipasavyo hao hawana tofauti na wanyama lkn wao wamepotoka zaidi kuliko hata hao wanyama


 
Wewe dogo huwa huwezi kubishana au kujibu hoja bila kumhusisha mzazi wa unayebishana naye, sijui ni ushamba au utoto unakusumbua.

Ukinichokoza Mimi / ukija Kwangu tegemea majibu kama hayo. Umeshajiuliza kwanini ni Wewe na Wapumbavu wenzako huwa ninawajibuni hivyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…