Uchaguzi 2020 Mliosoma na kuiva vyema kabisa katika 'Political Science', kauli ya kidhaifu kama hii ifuatayo inaruhisiwa kutamkwa na aliyeshikilia Mpini?

Kuna tatizo "Mura" unalitafuta siku hizi toka huko kwenu Malawi Kaskazini
 
Kampeni siyo kuropoka na kubwatuka, kampeni kuwashawishi wananchi waamini wewe na chama chako ni bora zaidi ya wengine.

Wapiga kampeni ni wale akina Kikwete na Kinana waliotukanwa na Musiba.

Siasa za uchaguzi ni ngumu sana, uki mwaminisha mwenye kujitambua - Anafanya kuchagua.
Ukimwaminisha ambae ana kiwango kidogo cha kujitambua - anafuata alichombiwa na hana haja ya kuchambua.

Kanda ya magharibi kuna wimbo unapigwa muda wote kwenye kampeni ya Mh. Magufuli.
Ukiwana na maana_ CCM ni chama chetu na magufuli ni mfalme wetu ( Ntemi wishwe).

Kuna kazi.
 
Hii inaonesha Udhaifu mkubwa ingawaje kwa hulka za kiafrika huyo mgombea aliposhuka jukwaani lazima kuna wapambe walimfuata kumpa kichwa "Leo mkuu umetoa madini tupu" kumbe amemwaga upupu.
Hao ndio kina "vocalchanel and co" hivi kapotezwa na wajumbe wa Kigamboni au? Nammiss kwelikweli
 
Ukinichokoza Mimi / ukija Kwangu tegemea majibu kama hayo. Umeshajiuliza kwanini ni Wewe na Wapumbavu wenzako huwa ninawajibuni hivyo?
Mimi ukiniita mpumbavu hata mara 100000 hakuna noma ila kumuita mzazi wangu majina hayo ni sawa na unamuita mzazi wako tu
 
Nchi inakwenda kuwa mapande mapande!! Sitaki kuamini yale ya BAHIMA EMPIRE yaliyokuwa yanaanza kujiri ikiwa wimbo huo kweli unaimbwa na umebarikiwa!!!
 
Mpiga debe wa stendi hawezi kuwa na busara, maana akili yake imezoea matusi ,kelele ,uongo na kuwavuta abiria bila ridhaa yao
 
Mimi ukiniita mpumbavu hata mara 100000 hakuna noma ila kumuita mzazi wangu majina hayo ni sawa na unamuita mzazi wako tu

Kwenye 'Vita' hivi 'Maadui' huwa wanachaguliana 'Silaha' za Kuangamizana? Halafu kila Siku nikikuambia kuwa huna 'Akili' hutaki Kukubali kabisa tu.
 
Hizi si kauli nzuri. China na Ujemedari wao huwezi kusikia wanawaita Waingereza na Wamarekani kama ni Mabeberu, FYI China ndio inaongoza kwa kulipa Tuition Fees(Uni Fees) kwa Nchi ya Uingereza japo kuwa ni mahasimu.

Kauli kama hizi si nzuri.
 
Somo kubwa ambalo tuta baki nalo kwa muda mrefu kwa watambuzi wa Political Science ni kuwa, Magharibi ya Tanzania watakuja kutambua uwezo wao katika box la kura na ushawishi wao kisiasa ambao siyo afya katika national Governance. Is the largest voting block in our country.
 

Mkuu huu 'Uzi' unaihusu hasa nchi ya Malawi ya Kaskazini sasa Wewe imekuwaje tena umeihusisha nchi ya Tanzania hapa? au labda umepitiwa tu?
 
KWANI NAO WALISEMAJE? POLITICAL SCIENCE ITABAKI KUWA HIVYO HIVYO, SIASA ZA MAJUKWAANI NI TOFAUTI NA POLITICAL SCIENCE......TUMIA JICHO LA 3 KUELEWA HILI
 
Huyo GENTAMYCINE atakuwa ameishiwa hoja na kuna hatari akakosa nafasi ya kuitawaala hiyo nchi ya kusadikika.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa huo 'Upumbavu' wako wa 'Kurithishwa' ulitegemea ungeiona kweli?
Nitakua nimerithi toka kwa gwiji wa mahesabu ambaye in 1958 alikua USA akichukua degree yake ya kwanza kati ya nyingi alizopata na hii ni baada ya kutokea Tabora Boys na Ilboru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…