Mliosomea Cuba Hii sanamu ya Mwl. Nyerere iliyozinduliwa huko Cuba inafanana na Mwalimu kweli?

Mliosomea Cuba Hii sanamu ya Mwl. Nyerere iliyozinduliwa huko Cuba inafanana na Mwalimu kweli?

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Uzinduzi huo ulifanyika Novemba 8, 2024 ukishuhudiwa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro ambaye amemwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Naibu Waziri, Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Cuba, Anayansi Camejo na baadhi ya viongozi wengine kutoka mataifa yote mawili.

GcCmWqMWQAAZlq-.jpeg


Picha: TBC
 
Uzinduzi huo ulifanyika Novemba 8, 2024 ukishuhudiwa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro ambaye amemwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Naibu Waziri, Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Cuba, Anayansi Camejo na baadhi ya viongozi wengine kutoka mataifa yote mawili.

View attachment 3153021

Picha: TBC
Mwalimu Nyerere aliyenibeba Mimi nilipozaliwa tu Agha Khan Hospital katika Mikono salama ya Masista Agatha na Brenda (akitokea Ikulu ya Magogoni baada ya kumaliza kumtia Adabu Nduli Idi Amin Dada kwa msaada mkubwa wa Mpambanaji Marehemu Musuguri aliyekuwa Uwanja wa Vita huko Uganda) na kuchagua niitwe jina la Pan Africanist mkubwa Barani Afrika na baada nikawa naenda Kucheza nae Msasani huku Dada yake (waliyependana mno) Theresia Nyakigi akiwa ananitembeza kule nyuma Kwake Baharini siyo huyu aliye katika hii Sanamu. Na ikiwezekana walioiandaa hii Sanamu upesi sana waende alipozikwa ili wakamuombe Radhi kwa Kumdhalilisha hivi.

Imeisha hiyo.........!!!!!!!
 
Uzinduzi huo ulifanyika Novemba 8, 2024 ukishuhudiwa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro ambaye amemwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Naibu Waziri, Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Cuba, Anayansi Camejo na baadhi ya viongozi wengine kutoka mataifa yote mawili.

View attachment 3153021

Picha: TBC
Siyo mbaya sana ,ni bora kuliko ya yule Mchawi wa tunguli KIGWAZ.
 
Mwalimu Nyerere aliyenibeba Mimi nilipozaliwa tu Agha Khan Hospital katika Mikono salama ya Masista Agatha na Brenda (akitokea Ikulu ya Magogoni baada ya kumaliza kumtia Adabu Nduli Idi Amin Dada kwa msaada mkubwa wa Mpambanaji Marehemu Musuguri aliyekuwa Uwanja wa Vita huko Uganda) na kuchagua niitwe jina la Pan Africanist mkubwa Barani Afrika na baada nikawa naenda Kucheza nae Msasani huku Dada yake (waliyependana mno) Theresia Nyakigi akiwa ananitembeza kule nyuma Kwake Baharini siyo huyu aliye katika hii Sanamu. Na ikiwezekana walioiandaa hii Sanamu upesi sana waende alipozikwa ili wakamuombe Radhi kwa Kumdhalilisha hivi.

Imeisha hiyo.........!!!!!!!
Imefanana nae kumbukumbu kuna picha zake nyingi hio ni akiwa Mzee sio kijana
 
Uzinduzi huo ulifanyika Novemba 8, 2024 ukishuhudiwa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro ambaye amemwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Naibu Waziri, Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Cuba, Anayansi Camejo na baadhi ya viongozi wengine kutoka mataifa yote mawili.

View attachment 3153021

Picha: TBC

Ngoja waje wenye kumbagaza Nyerere watwambie sanamu zao au washirika wao ziko angalau mtaa gani.
 
Bora hii.Kigwangala alileta hasira sana kwa kutengeneza sanamu isiyofanana na mwenye nayo.Halafu akajikausha ,hajawahi zungumzia lile dubwana pamoja na kupenda kote kujieleza mitandaoni
 
Uzinduzi huo ulifanyika Novemba 8, 2024 ukishuhudiwa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro ambaye amemwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Naibu Waziri, Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Cuba, Anayansi Camejo na baadhi ya viongozi wengine kutoka mataifa yote mawili.

View attachment 3153021

Picha: TBC
Amekunjwa ndita
 
Uzinduzi huo ulifanyika Novemba 8, 2024 ukishuhudiwa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro ambaye amemwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Naibu Waziri, Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Cuba, Anayansi Camejo na baadhi ya viongozi wengine kutoka mataifa yote mawili.

View attachment 3153021

Picha: TBC
Huyu anaonekana amekasirika kweli
 
Mwalimu Nyerere aliyenibeba Mimi nilipozaliwa tu Agha Khan Hospital katika Mikono salama ya Masista Agatha na Brenda (akitokea Ikulu ya Magogoni baada ya kumaliza kumtia Adabu Nduli Idi Amin Dada kwa msaada mkubwa wa Mpambanaji Marehemu Musuguri aliyekuwa Uwanja wa Vita huko Uganda) na kuchagua niitwe jina la Pan Africanist mkubwa Barani Afrika na baada nikawa naenda Kucheza nae Msasani huku Dada yake (waliyependana mno) Theresia Nyakigi akiwa ananitembeza kule nyuma Kwake Baharini siyo huyu aliye katika hii Sanamu. Na ikiwezekana walioiandaa hii Sanamu upesi sana waende alipozikwa ili wakamuombe Radhi kwa Kumdhalilisha hivi.

Imeisha hiyo.........!!!!!!!
😆Charismatic fella katika ubora wake!
 
Ngoja wanafamilia waitwe na CCM kuielezea hiyo sanamu,
Pia sisi Wana JF tuziangaliie kwa making,
Sanamu ya Kigwangala
Sanamu ya Ethiopia
Na hii ya Cuba
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    7.7 KB · Views: 5
  • GcCmWqMWQAAZlq-.jpeg
    GcCmWqMWQAAZlq-.jpeg
    173.7 KB · Views: 5
Uzinduzi huo ulifanyika Novemba 8, 2024 ukishuhudiwa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro ambaye amemwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Naibu Waziri, Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Cuba, Anayansi Camejo na baadhi ya viongozi wengine kutoka mataifa yote mawili.

View attachment 3153021

Picha: TBC
NI YEYEE
 
Huu mtihani shehe. Lakini ni afadhali hili la Cuba. Lile la Kigwangala....... lilipotea njia pakubwa.
 
Uzinduzi huo ulifanyika Novemba 8, 2024 ukishuhudiwa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro ambaye amemwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Naibu Waziri, Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Cuba, Anayansi Camejo na baadhi ya viongozi wengine kutoka mataifa yote mawili.

View attachment 3153021

Picha: TBC
Eeeh!!!
 
Back
Top Bottom