Mliosomea Cuba Hii sanamu ya Mwl. Nyerere iliyozinduliwa huko Cuba inafanana na Mwalimu kweli?

Mliosomea Cuba Hii sanamu ya Mwl. Nyerere iliyozinduliwa huko Cuba inafanana na Mwalimu kweli?

Mchongameno alikua ni mtu wa hovyo had statues zinakataa kufanana nae
 
Mwalimu Nyerere aliyenibeba Mimi nilipozaliwa tu Agha Khan Hospital katika Mikono salama ya Masista Agatha na Brenda (akitokea Ikulu ya Magogoni baada ya kumaliza kumtia Adabu Nduli Idi Amin Dada kwa msaada mkubwa wa Mpambanaji Marehemu Musuguri aliyekuwa Uwanja wa Vita huko Uganda) na kuchagua niitwe jina la Pan Africanist mkubwa Barani Afrika na baada nikawa naenda Kucheza nae Msasani huku Dada yake (waliyependana mno) Theresia Nyakigi akiwa ananitembeza kule nyuma Kwake Baharini siyo huyu aliye katika hii Sanamu. Na ikiwezekana walioiandaa hii Sanamu upesi sana waende alipozikwa ili wakamuombe Radhi kwa Kumdhalilisha hivi.

Imeisha hiyo.........!!!!!!!
Toa jibu moja tu anafanana au hafanani? Maelezo mengi ya nini?

NB: ukitukana nakupiga ban siku 21 bila kutumia jf
 
Back
Top Bottom