The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Mwalimu Nyerere aliyenibeba Mimi nilipozaliwa tu Agha Khan Hospital katika Mikono salama ya Masista Agatha na Brenda (akitokea Ikulu ya Magogoni baada ya kumaliza kumtia Adabu Nduli Idi Amin Dada kwa msaada mkubwa wa Mpambanaji Marehemu Musuguri aliyekuwa Uwanja wa Vita huko Uganda) na kuchagua niitwe jina la Pan Africanist mkubwa Barani Afrika na baada nikawa naenda Kucheza nae Msasani huku Dada yake (waliyependana mno) Theresia Nyakigi akiwa ananitembeza kule nyuma Kwake Baharini siyo huyu aliye katika hii Sanamu. Na ikiwezekana walioiandaa hii Sanamu upesi sana waende alipozikwa ili wakamuombe Radhi kwa Kumdhalilisha hivi.Uzinduzi huo ulifanyika Novemba 8, 2024 ukishuhudiwa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro ambaye amemwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Naibu Waziri, Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Cuba, Anayansi Camejo na baadhi ya viongozi wengine kutoka mataifa yote mawili.
View attachment 3153021
Picha: TBC
Siyo mbaya sana ,ni bora kuliko ya yule Mchawi wa tunguli KIGWAZ.Uzinduzi huo ulifanyika Novemba 8, 2024 ukishuhudiwa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro ambaye amemwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Naibu Waziri, Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Cuba, Anayansi Camejo na baadhi ya viongozi wengine kutoka mataifa yote mawili.
View attachment 3153021
Picha: TBC
Imefanana nae kumbukumbu kuna picha zake nyingi hio ni akiwa Mzee sio kijanaMwalimu Nyerere aliyenibeba Mimi nilipozaliwa tu Agha Khan Hospital katika Mikono salama ya Masista Agatha na Brenda (akitokea Ikulu ya Magogoni baada ya kumaliza kumtia Adabu Nduli Idi Amin Dada kwa msaada mkubwa wa Mpambanaji Marehemu Musuguri aliyekuwa Uwanja wa Vita huko Uganda) na kuchagua niitwe jina la Pan Africanist mkubwa Barani Afrika na baada nikawa naenda Kucheza nae Msasani huku Dada yake (waliyependana mno) Theresia Nyakigi akiwa ananitembeza kule nyuma Kwake Baharini siyo huyu aliye katika hii Sanamu. Na ikiwezekana walioiandaa hii Sanamu upesi sana waende alipozikwa ili wakamuombe Radhi kwa Kumdhalilisha hivi.
Imeisha hiyo.........!!!!!!!
Uzinduzi huo ulifanyika Novemba 8, 2024 ukishuhudiwa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro ambaye amemwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Naibu Waziri, Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Cuba, Anayansi Camejo na baadhi ya viongozi wengine kutoka mataifa yote mawili.
View attachment 3153021
Picha: TBC
Amekunjwa nditaUzinduzi huo ulifanyika Novemba 8, 2024 ukishuhudiwa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro ambaye amemwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Naibu Waziri, Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Cuba, Anayansi Camejo na baadhi ya viongozi wengine kutoka mataifa yote mawili.
View attachment 3153021
Picha: TBC
Huyu anaonekana amekasirika kweliUzinduzi huo ulifanyika Novemba 8, 2024 ukishuhudiwa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro ambaye amemwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Naibu Waziri, Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Cuba, Anayansi Camejo na baadhi ya viongozi wengine kutoka mataifa yote mawili.
View attachment 3153021
Picha: TBC
šCharismatic fella katika ubora wake!Mwalimu Nyerere aliyenibeba Mimi nilipozaliwa tu Agha Khan Hospital katika Mikono salama ya Masista Agatha na Brenda (akitokea Ikulu ya Magogoni baada ya kumaliza kumtia Adabu Nduli Idi Amin Dada kwa msaada mkubwa wa Mpambanaji Marehemu Musuguri aliyekuwa Uwanja wa Vita huko Uganda) na kuchagua niitwe jina la Pan Africanist mkubwa Barani Afrika na baada nikawa naenda Kucheza nae Msasani huku Dada yake (waliyependana mno) Theresia Nyakigi akiwa ananitembeza kule nyuma Kwake Baharini siyo huyu aliye katika hii Sanamu. Na ikiwezekana walioiandaa hii Sanamu upesi sana waende alipozikwa ili wakamuombe Radhi kwa Kumdhalilisha hivi.
Imeisha hiyo.........!!!!!!!
NI YEYEEUzinduzi huo ulifanyika Novemba 8, 2024 ukishuhudiwa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro ambaye amemwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Naibu Waziri, Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Cuba, Anayansi Camejo na baadhi ya viongozi wengine kutoka mataifa yote mawili.
View attachment 3153021
Picha: TBC
Eeeh!!!Uzinduzi huo ulifanyika Novemba 8, 2024 ukishuhudiwa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro ambaye amemwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Naibu Waziri, Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Cuba, Anayansi Camejo na baadhi ya viongozi wengine kutoka mataifa yote mawili.
View attachment 3153021
Picha: TBC