milioni milioni
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 1,845
- 1,063
Njoo pm nikwambie kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenena mkuutena na wale wasiojulikana ndio machimbo yao huku... jisahau kule kwenye Jukwaa la Siasa umemkosoa kigogo fulani ukaja huku chitchat 'ukashoboka' kwa mlimbwende huyo PM ukasema hapa 'nimelamba dume' kumbe unaingizwa king kiulainii...hatimaye unapotezwa kisa tu tamaa za kichwa cha chini
Wakuu tuwe makini
yapi!??Unamabomu yakulipulia machozi jaman
okMbona bado umeweka avator ya kuvunga?
santeMmmhh jaman
hili nalo nenoMie ndo kikongwe wao, acha waunh'any'anie ubinti ni mtamu.
Kuwa binti si tatizo, je, yaliyomo yamo?
santeUnaonesha una mafukunyuku sana!!
santeUna titi hiloo [emoji4] [emoji4] [emoji4]
santemmhhh ilo jicho
namm nilizoom kapicha ikakataaKwa nini Jf inagoma ku-zoom in profile pictures? Hili suala linatuathiri sana washika dau.
Njoo kwangu ukumbatie watoto halisi uachane na midoli