Inaonesha kabla ya kupiga hiyo picha ulijiandaa mama,huo unywele plus jicho kungu la kujiandaa.Wengi mnoo mmekuwa mkija pm na kusema mnaumia sana hamnijui nipoje wengine mpaka mnatishia kuhama kabisa JamiiForums kwa kuwa naficha sura yangu sasa IPO hivii:
Nimeamua kuweka picha yangu halisi (AVATAR)
huyo ndyo Mimi PAULINA...
Mtakao ni judge hovyo I DON'T CARE...
AiseeeWengi mnoo mmekuwa mkija pm na kusema mnaumia sana hamnijui nipoje wengine mpaka mnatishia kuhama kabisa JamiiForums kwa kuwa naficha sura yangu sasa IPO hivii:
Nimeamua kuweka picha yangu halisi (AVATAR)
huyo ndyo Mimi PAULINA...
Mtakao ni judge hovyo I DON'T CARE...
asanteInaonesha kabla ya kupiga hiyo picha ulijiandaa mama,huo unywele plus jicho kungu la kujiandaa.
Acha ubaguzi sisi ni waafrica.... jivunie.Mbona una kitambia? Mwanamke asiyeweza kusitiri nywele zake namwona wale wale tu
asante kwa kunisaidia kumpa somoAcha ubaguzi sisi ni waafrica.... jivunie.
jf isn't safePaulina umerahisisha picha ungerahisisha na namba sasa.
WivuMbaya