Mliotaka kufahamu sura yangu Paulina

Mliotaka kufahamu sura yangu Paulina

Wengi mnoo mmekuwa mkija pm na kusema mnaumia sana hamnijui nipoje wengine mpaka mnatishia kuhama kabisa JamiiForums kwa kuwa naficha sura yangu sasa IPO hivii:

Nimeamua kuweka picha yangu halisi (AVATAR)
huyo ndyo Mimi PAULINA...
Mtakao ni judge hovyo I DON'T CARE...
Inaonesha kabla ya kupiga hiyo picha ulijiandaa mama,huo unywele plus jicho kungu la kujiandaa.
 
Naona umeamua kuitangaza biashara yako kwa namna ya kipekee.... tehteehhh
 
Wengi mnoo mmekuwa mkija pm na kusema mnaumia sana hamnijui nipoje wengine mpaka mnatishia kuhama kabisa JamiiForums kwa kuwa naficha sura yangu sasa IPO hivii:

Nimeamua kuweka picha yangu halisi (AVATAR)
huyo ndyo Mimi PAULINA...
Mtakao ni judge hovyo I DON'T CARE...
Aiseee
 
Back
Top Bottom